Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Tena ya RangiChai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ya RangiChai
Yaani Jamaa kaenda Likizo siku kadhaa tu lakini karudi ule weusi wote umeisha, kawa mweupe peee huku mwili ukiwa umepukutika kama vile anavyotuelekeza Profesa Janabi yaani, Daaah!!
Nawaomba wanaJF wenzangu nendeni likizo ili mkirudi mng'are huku vitambi vikiwa vishawaporomoka, kwani hamtaki kupungua hii miili yenu ili muwe sawa kiafya?
Ile nyumba Yako imechomwa eeh..?Chai
Kama ndio hivyo basi likizo kamwe siendi 😂😂😂Yaani Jamaa kaenda Likizo siku kadhaa tu lakini karudi ule weusi wote umeisha, kawa mweupe peee huku mwili ukiwa umepukutika kama vile anavyotuelekeza Profesa Janabi yaani, Daaah!!
Nawaomba wanaJF wenzangu nendeni likizo ili mkirudi mng'are huku vitambi vikiwa vishawaporomoka, kwani hamtaki kupungua hii miili yenu ili muwe sawa kiafya?
Anatumia ID ipi...?Hujui hilo? 🐼
Masharti yapi hayo? Unataka kutuingiza Chaka lingineAsisahau mashart ya daktari mkuu!
😆😆😆😆, Asante mtaalamDuuh mpe pole sana ,inaonekana alipigwa na kitu kizito.....Hata Jammie Foxx alivyoumwa na kurudi alikuwa mweupe balaa possible kwasababu ya kushinda ndani muda mrefu pasipo kuunguzwa na jua(ukipigwa na jua ngozi inagenerate melanin kukulinda na UV ambayo ndiyo inaleta wuesi).
Duh....mbn mbali huko ... umefanya nini kikubwa ..?Ndio, mbaka wa 12 itakuwa imeisha rejea ila nina nyumba nyingi
Unaachaje jina hilo sasaKwa hiyo aitwe cheupe dawa mkuu?
Mkuu mimi naenda likizo wa kumi na mbiliasante kwa taarifa
Ila hakikisha unakuja ukiwa mweupeMkuu mimi naenda likizo wa kumi na mbili
Sawa mkuu, hii kazi ndogo sanaIla hakikisha unakuja ukiwa mweupe
Mkuu makonda iko gonjwa nimemchunguza sekunde 10 nimegundua anayumba Yumba hawezi simama straightYaani Jamaa kaenda Likizo siku kadhaa tu lakini karudi ule weusi wote umeisha, kawa mweupe peee huku mwili ukiwa umepukutika kama vile anavyotuelekeza Profesa Janabi yaani, Daaah!!
Nawaomba wanaJF wenzangu nendeni likizo ili mkirudi mng'are huku vitambi vikiwa vishawaporomoka, kwani hamtaki kupungua hii miili yenu ili muwe sawa kiafya?
Wewe watu wanacalcutate timejaribuni tena kumpa sumu nyingine
ile ya kwanza haijatimiza lengo
Nimemkumbuka mpango kipindi cha covidBwashee mbona bashite hata sauti imeyumba? Au likizo tuna reset kila kitu?