WanaJF Nendeni likizo ili na nyinyi mrudi kazini mkiwa Weupe

WanaJF Nendeni likizo ili na nyinyi mrudi kazini mkiwa Weupe

Yaani Jamaa kaenda Likizo siku kadhaa tu lakini karudi ule weusi wote umeisha, kawa mweupe peee huku mwili ukiwa umepukutika kama vile anavyotuelekeza Profesa Janabi yaani, Daaah!!

Nawaomba wanaJF wenzangu nendeni likizo ili mkirudi mng'are huku vitambi vikiwa vishawaporomoka, kwani hamtaki kupungua hii miili yenu ili muwe sawa kiafya?

Duuh mpe pole sana ,inaonekana alipigwa na kitu kizito.....Hata Jammie Foxx alivyoumwa na kurudi alikuwa mweupe balaa possible kwasababu ya kushinda ndani muda mrefu pasipo kuunguzwa na jua(ukipigwa na jua ngozi inagenerate melanin kukulinda na UV ambayo ndiyo inaleta wuesi).
 
Kama
Yaani Jamaa kaenda Likizo siku kadhaa tu lakini karudi ule weusi wote umeisha, kawa mweupe peee huku mwili ukiwa umepukutika kama vile anavyotuelekeza Profesa Janabi yaani, Daaah!!

Nawaomba wanaJF wenzangu nendeni likizo ili mkirudi mng'are huku vitambi vikiwa vishawaporomoka, kwani hamtaki kupungua hii miili yenu ili muwe sawa kiafya?
Kama ndio hivyo basi likizo kamwe siendi 😂😂😂
 
Duuh mpe pole sana ,inaonekana alipigwa na kitu kizito.....Hata Jammie Foxx alivyoumwa na kurudi alikuwa mweupe balaa possible kwasababu ya kushinda ndani muda mrefu pasipo kuunguzwa na jua(ukipigwa na jua ngozi inagenerate melanin kukulinda na UV ambayo ndiyo inaleta wuesi).
😆😆😆😆, Asante mtaalam
 
Yaani Jamaa kaenda Likizo siku kadhaa tu lakini karudi ule weusi wote umeisha, kawa mweupe peee huku mwili ukiwa umepukutika kama vile anavyotuelekeza Profesa Janabi yaani, Daaah!!

Nawaomba wanaJF wenzangu nendeni likizo ili mkirudi mng'are huku vitambi vikiwa vishawaporomoka, kwani hamtaki kupungua hii miili yenu ili muwe sawa kiafya?
Mkuu makonda iko gonjwa nimemchunguza sekunde 10 nimegundua anayumba Yumba hawezi simama straight
 
Back
Top Bottom