Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwani naye ni Mwanajf?Aende Sugu likizo 😂
Mada ni likizo mkuuSiasa NI Kazi ngumu
Kufuatilia Maisha ya watawala hasimu na kuwatafutia Kasoro
Bwashee mbona bashite hata sauti imeyumba? Au likizo tuna reset kila kitu?Aende Sugu likizo 😂
Ungeweka hata picha ya mpapai kama umeshindwa kumpiga picha.Yaani Jamaa kaenda Likizo siku kadhaa tu lakini karudi ule weusi wote umeisha, kawa mweupe peee huku mwili ukiwa umepukutika kama vile anavyotuelekeza Profesa Janabi yaani, Daaah!!
Nawaomba wanaJF wenzangu nendeni likizo ili mkirudi mng'are huku vitambi vikiwa vishawaporomoka, kwani hamtaki kupungua hii miili yenu ili muwe sawa kiafya?
Weeee!! Kumbe naye alikuwa likizo?Bwashee mbona bashite hata sauti imeyumba? Au likizo tuna reset kila kitu?
Vipi na Sambwanda limepungua? Au alienda kufanya marekebisho kulipunguza ?Yaani Jamaa kaenda Likizo siku kadhaa tu lakini karudi ule weusi wote umeisha, kawa mweupe peee huku mwili ukiwa umepukutika kama vile anavyotuelekeza Profesa Janabi yaani, Daaah!!
Nawaomba wanaJF wenzangu nendeni likizo ili mkirudi mng'are huku vitambi vikiwa vishawaporomoka, kwani hamtaki kupungua hii miili yenu ili muwe sawa kiafya?
Usiondoke jfUngeweka hata picha ya mpapai kama umeshindwa kumpiga picha.
Hujui hilo? 🐼Kwani naye ni Mwanajf?
Likizo ziko za aina mbalimbaliBwashee mbona bashite hata sauti imeyumba? Au likizo tuna reset kila kitu?
Kuna za kujiteka kidrama ka hizo na kuna likizo mnawapa watu za maisha huko katavi sio?Likizo ziko za aina mbalimbali
Kumbe na Masharti yapo!Asisahau mashart ya daktari mkuu!
Hivi naye ni mwanajf?Aende Mbowe