mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,401
Ulita afe imeshindikana,roho inakuuma kwelikweli, maelezo yako yanaakisi wewe ni mtoto wa single motherYaani Jamaa kaenda Likizo siku kadhaa tu lakini karudi ule weusi wote umeisha, kawa mweupe peee huku mwili ukiwa umepukutika kama vile anavyotuelekeza Profesa Janabi yaani, Daaah!!
Nawaomba wanaJF wenzangu nendeni likizo ili mkirudi mng'are huku vitambi vikiwa vishawaporomoka, kwani hamtaki kupungua hii miili yenu ili muwe sawa kiafya?
SanaHivi naye ni mwanajf?
asante kwa taarifaSana
Huyo Singo maza ndio yupi mkuu, maana mimi ni mshamba wa Tandika MwembeyangaUlita afe imeshindikana,roho inakuuma kwelikweli, maelezo yako yanaakisi wewe ni mtoto wa single mother
Mmh sambanda naona bado limo limo, si haba mashaalahVipi na Sambwanda limepungua? Au alienda kufanya marekebisho kulipunguza ?
Ila wajinga wenzenu wakibwatuka mbowe ni mlevi wa konyagi ndio mnaona ni hoja za msingi.Hapa ndipo Huwa tunatofautiana na "makamanda"
Unajadili mtu badala ya hoja za msingi.
Huwa pia sifuatilii wanaoongea vitu visivyo na afya dhidi ya yeyote. Mimi naamini katika kulinda haki ya utu wa mtu bila kujali itikadi.Ila wajinga wenzenu wakibwatuka mbowe ni mlevi wa konyagi ndio mnaona ni hoja za msingi.
atakutukana tu kimoyo moyo tu πAcheni kuendekez siasa za kijinga kwenye afya ya mtu.
Watu kama nyinyi musiokuwa na hoja ndo mnafanya tuone Chadema wote ni wendawazimu tu
Potelea pote ujumbe atakua ameupataatakutukana tu kimoyo moyo tu π
[emoji1787][emoji1787]Siasa NI Kazi ngumu
Kufuatilia Maisha ya watawala hasimu na kuwatafutia Kasoro
athari za kuishi uswahilini hizo πͺHuu sasa uswahili sio siasa
HahahaIla wajinga wenzenu wakibwatuka mbowe ni mlevi wa konyagi ndio mnaona ni hoja za msingi.
HaswaaHuu sasa uswahili sio siasa