WanaJF Nendeni likizo ili na nyinyi mrudi kazini mkiwa Weupe

Ulita afe imeshindikana,roho inakuuma kwelikweli, maelezo yako yanaakisi wewe ni mtoto wa single mother
 
Ila wajinga wenzenu wakibwatuka mbowe ni mlevi wa konyagi ndio mnaona ni hoja za msingi.
Huwa pia sifuatilii wanaoongea vitu visivyo na afya dhidi ya yeyote. Mimi naamini katika kulinda haki ya utu wa mtu bila kujali itikadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…