Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
-
- #241
Hii imekaa vibayaKwa nilicho kishuhudia leo kwenye seminar ya wasimamizi wa vituo vya uchaguzi ni dhahiri CCM wanashirikiana na TISS kuiba kura
DSO/RSO wanasema
1.Marufuku mawakala kuingia na simu
2.Marufuku wasimamizi wasaidizi kuingia na simu
3.Marufuku kalani mwongozaji kuingia na simu
4.Marufuku wakala kuingia na kalam yake
5.Marufuku wakala kuondoka na karatasi ya matokeo
Wapinzani tumeshapigwa tayari!Yaani nimekuta kwanini niliumia kwenye hiyo seminar Ilikuwa kidogo tu nirushe ngumi
Hamjali maendeleo ya watanzania bali maendeleo ya tanzaniaUshindikwa JPM hauepukiki kila niliyemwambia ampigie kura JPM ameniambia inyeshe mvua liwake jua kura ni kwa JPM.
Watu wanataka MAENDELEO na watamchagua JPM OCTOBER 28TH ili wapate MAENDELEO.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Kusema kweli mwaka huu wapinzani ni dhaifu kuliko wakati wowote uleUchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
TANZANIA ni ya Watanzania sio Amsterdam and Co.Hamjali maendeleo ya watanzania bali maendeleo ya tanzania
Tutampa mtanzania mwenzetuJiandae wote BP kupanda tarehe 29/10 maana JPM atashinda kwa kishindo! Hivyo msiharibu kura zenu bali mpigie namba moja katika karatasi ya kura