Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,912
Mada sijaielewa
Utaielewa tu kaa chonjo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada sijaielewa
Ili gari la hayati filikunjombeSukumeni gari hilo hapo maana mnapenda kujipendekeza!
![]()
Tue parlie francee?Mkuu,
Je suis avec Mon Président , Le Docteur Magufuli.
I am with my President , Dr. Magufuli.
Nipo na Rais wangu, Dr . Magufuli.
[HASHTAG]#mabashite[/HASHTAG] wote nawaona
tunamtaka huyo fisadi aliyenunua kivuko kibovu na mla rambirambi tumpeleke kwenye mahakama ya mafisadi.Vita dhidi ya mafisadi, dawa za kulevya, wahujumu uchumi, wizi, kusimamia haki za wananchi hakika ; haijawahi kumuacha mtu salama.
Ila, tukiwa na Rais wetu ambaye ni shupavu, mpenda amani, msikivu, mtetezi wa wote, na Mkombozi wa uchumi wa Tanzania tutashinda daima.
Tue parlie francee?
Atupe na laptop walimu, 50M kila kijiji, watumishi waongezwe mshahara, watumishi wapande madaraja bila kusahau mauzo ya nyumba za taifa.tunamtaka huyo fisadi aliyenunua kivuko kibovu na mla rambirambi tumpeleke kwenye mahakama ya mafisadi.
Anatetea wote ila siyo wanafunzi wenye mimba na wazee walemavu( specifically poster)Vita dhidi ya mafisadi, dawa za kulevya, wahujumu uchumi, wizi, kusimamia haki za wananchi hakika ; haijawahi kumuacha mtu salama.
Ila, tukiwa na Rais wetu ambaye ni shupavu, mpenda amani, msikivu, mtetezi wa wote, na Mkombozi wa uchumi wa Tanzania tutashinda daima.
Andaa vibali
Anatetea wote ila siyo wanafunzi wenye mimba na wazee walemavu( specifically poster)
Ndio maana tangu nianze kupata ufahamu sijawahi ona/kusikia mtoto wa kigogo/tajiri/rais/mbunge/waziri/ kiongozi wa juu wa serikali wa nchi yeyote amepata mimba katika umri mdogo.Hata Dr. JK aliwahi kusema kuwa "Wanapata ... Kwa Viherehere Vyao "
Walipelekwa shule kusoma au kuvua sketi na pichu!?
Mchuma janga hula na wakao.
Ndio maana tangu nianze kupata ufahamu sijawahi ona/kusikia mtoto wa kigogo/tajiri/rais/mbunge/waziri/ kiongozi wa juu wa serikali wa nchi yeyote amepata mimba katika umri mdogo.
Kaa ufikirie usiku huu hakuna makelele utapata majibu shekhe!
Wewe ndiye uliyesomea kwenye mwembe juu. Mtoa mada yuko very specific, kwamba WANAO MUUNGA mkono mkono RAIS Magufuli, ndio wajitokeze. Sasa ww kama humuungi, Mada hiyo si yako waachie wahusika.Hivi hizi shule mlikuwa mnasomea kwenye miembe juu? Sasa mleta Uzi tumunge magufuli kwa kipi? Maana kuna mengine hatuyaungi, mengine tunaunga, kama lile la mimba!!!! Which is which? Nendeni shule mpate maarifa
Ndo maana nikasema kwa vile ni usiku kumetulia utaleta majibu haraka, mwanzo umeanza na porojo ila jibu umeandika mstari wa mwisho. Asante kwa kuelewa chanzo cha hizo mimba kwa hao watoto wa maskini.Kwanza, nianzie na ulipo malizia "Mimi siyo mfuasi wa dini uchwara yoyote ile ya kigeni, hivyo Mimi siyo Shekhe. Imamu wala Padri Sijui mara ooo ooooh nabii na mtume na Pastor.
Tengua hiyo kauli.
Ok, back to business, mimba asilimia zote ni Viherehere vyao.
Mfano, mtoto home uchumi mzuri bado anatoroka hadi usiku hicho siyo kiherehere ni nini!?
Walio na uchumi mmbaya hao nao ni majanga.
Wale watoto wa viongozi wanapewa maangalizo na ulinzi wa kutosha