WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

Morning my dear Sakayo

Juzi usiku wakati nalinda jukwaa nilihisi kuna utofauti.
Na kweli nikakuta baadhi ya comments hazipo

Si unajua wakishiba/akishiba futari ndio macho yanafunguka?....asa nahisi alishapiga futari na daku ndio akaona
Samtaim majanga hawa.

espy naona bado kakumbatiwa na MO11.
Shunie na Bonny nahisi waliondoka muda mmoja, sikuwaona ghafla.
Maserati sikumtia machono kutwa jana....sijui alikuwa wapi.
Nalendwa nilimuona usiku wa manane, itakuwa bado kalala tu.
Daby aliondoka na Valentina, maana niliona mzozo wamekamatana jukwaa gani sijui.

Wifi Khantwe....kaniamshie kaka yako, mwambie kumekucha, nataka niende gengeni.
Hawa mods sio watu wema kumbe...

Morning Madam B... Mie niko poaa... Pole na mteguko bhana...

Hao members wakupendana wako busy na maisha!!!!
 
Morning my dear Sakayo

Juzi usiku wakati nalinda jukwaa nilihisi kuna utofauti.
Na kweli nikakuta baadhi ya comments hazipo

Si unajua wakishiba/akishiba futari ndio macho yanafunguka?....asa nahisi alishapiga futari na daku ndio akaona
Samtaim majanga hawa.

espy naona bado kakumbatiwa na MO11.
Shunie na Bonny nahisi waliondoka muda mmoja, sikuwaona ghafla.
Maserati sikumtia machono kutwa jana....sijui alikuwa wapi.
Nalendwa nilimuona usiku wa manane, itakuwa bado kalala tu.
Daby aliondoka na Valentina, maana niliona mzozo wamekamatana jukwaa gani sijui.

Wifi Khantwe....kaniamshie kaka yako, mwambie kumekucha, nataka niende gengeni.
Madame B mie niliondoka mwenyewe Shunie nilimuacha hapa hapa
 
espy....nilikuwa kwenye mnuso wa kibabe.
Ilibidi mikoba yote niiache kwanza, nisije kabwa na mfupa wa kuku.
Bonny tangu tulivuoachana mchana....ndo kimoja.
au kaondoka na Shunie....maana jana waliaga pamoja
Hivi Madame B hyo minuso mbona unaenda peke yako lakin uwe unachukua na ndugu zako mialiko yako asubh kwenye mazoez ukishatoka kwenye daku
 
Hawa mods sio watu wema kumbe...

Morning Madam B... Mie niko poaa... Pole na mteguko bhana...

Hao members wakupendana wako busy na maisha!!!!
Sio watu wema hara kidogo aisee.
Morning.
Nakwambia wako busy wanapendana huko waliko.
Ngoja tuwasubiri kama watarudi
 
Back
Top Bottom