WanaJF wafuatao wanastahili tuzo ya uvumilivu kwa kutoyumbishwa na mashambulizi kila wanapopost nyuzi zao

WanaJF wafuatao wanastahili tuzo ya uvumilivu kwa kutoyumbishwa na mashambulizi kila wanapopost nyuzi zao

Tofauti kabisa na kina Malisa GJ, Maria Sarungi au Martin Maranja ambao hawana kabisa uvumilivu kwa yeyote atakayekuwa kinyume na mawazo yao hawa wanaJF wanapaswa kutunukiwa tuzo za uvumilivu kwa kutojali mashambulizi ya watu pale wanapopost nyuzi.

1. ERYTHROCYTE
Huyu mfuasi kindakindaki wa chama cha Mbowe ni mfano wa kuigwa kwenye ulimwengu wa demokrasia. Huyu ni mtu aliyekula kiapo cha utiifu kwa mwenyekiti wa chama chake kiasi kwamba post zake nyingi huwa ni kumsifu chairman. WanaCCM wamekuwa wakimwandama kwa hoja na baadhi kutumia lugha za kuudhi ila huyu mfuasi wa Mbowe hajawahi rudi nyuma.

2. BIBI FAIZA FOXY
Bibi yetu ambaye inasemekana ndo alikuwa Slayqueen wa enzi za TANU, yaani nchi inapata uhuru yeye tayari kashakula nauli za wakoloni kadhaa.. sio poa. Ni bibi mahiri sana kwenye hoja zake ila wananchi wengi hukwazwa sana na chembechembe za udini alizo nazo. Mwisho wa siku bibi Faiza ni mtu asiyetishwa na maneno ya kumkatisha tamaa kwenye anachoamini.

3. MZEE PASCAL MAYALLA.
Mzee wetu ni muumini mzuri wa sheria ya KARMA. Huamini kabisa hakuna baya utakalofanya halafu karma isitimize wajibu wake wa kukuadhibu. Ila huwa najiuliza KARMA huwa inasahau anwani ya CCM au huwa inakumbuka ila CCM humpatia Karma ka-takrima kisha Karma kupotezea? Tangu nimezaliwa ninasikia CCM ikilaumiwa sana. Mzee Pascal ni mtu mwenye uzoefu mkubwa wa kufeli kwenye kugombea nafasi mbalimbali za uongozi. Criticism dhidi yake sio ya kitoto ila huyu dingii haterereki.

4. MZEE MOHAMED SAID
Mzee wetu ni miongoni mwa watu wachache wanaojua mambo mengi sana ya nchi yetu. Ila yeye kaamua kujizima data na kulazimisha kuwa bila familia ya Sykes hii Tanzania isingekua hivi. Kuwa kina Sykes ndo kama waliibeba TZ mabegani na kuhakikisha inapata uhuru. Huwezi mwelezea mtu mdini usimtaje huyu mzee wetu. Pamoja na yote bado mzee wetu ana ngozi ngumu sana. Hayumbishwi kwenye ishu zake za udini.

5. LUCAS MWASHAMBWA
Huyu jombi ndo staa mkubwa kwa sasa wa JF. Jamaa huwa anabubujikwa sana na machozi kila Mama Samia akiongea chochote. Mwenyewe hujiita kijana mzalendo ila wengi wanamshambulia kwa kumwita chawa.
Matongee,
Hapo chini nimeweka video inayoeleza historia ya kuandika historia ya TANU.

Tafadhali itazame.

Nimekunyamazia kuhusu suala la ''Udini,'' naamini unakusidia Uislam.

Ukweli ni kuwa mchango wao katika kupigania uhuru wa Tanganyika hauna mfano.

Hupendi historia hii ielezwe.

Ikielezwa ni "Udini," ila kuifuta katika historia ya Tanganyika huo si "Udini."

Nakushauri fungua uzi kuhusu hili suala la "Udini," In Shaa Allah nitakuja kuchangia kwa ushahidi wa nyaraka na picha na utawaona sana akina Sykes kuanzia 1924 hadi uhuru unapatikana 1961.

Nyaraka na picha hizi hujapata kuziona popote kama ambavyo haya nielezayo katika video hujayasikia popote.

Unachotakiwa kujiuliza nisemayo ni kweli au si kweli?:


View: https://youtu.be/bgiP_SI0-vI
 
Tofauti kabisa na kina Malisa GJ, Maria Sarungi au Martin Maranja ambao hawana kabisa uvumilivu kwa yeyote atakayekuwa kinyume na mawazo yao hawa wanaJF wanapaswa kutunukiwa tuzo za uvumilivu kwa kutojali mashambulizi ya watu pale wanapopost nyuzi.

1. ERYTHROCYTE
Huyu mfuasi kindakindaki wa chama cha Mbowe ni mfano wa kuigwa kwenye ulimwengu wa demokrasia. Huyu ni mtu aliyekula kiapo cha utiifu kwa mwenyekiti wa chama chake kiasi kwamba post zake nyingi huwa ni kumsifu chairman. WanaCCM wamekuwa wakimwandama kwa hoja na baadhi kutumia lugha za kuudhi ila huyu mfuasi wa Mbowe hajawahi rudi nyuma.

2. BIBI FAIZA FOXY
Bibi yetu ambaye inasemekana ndo alikuwa Slayqueen wa enzi za TANU, yaani nchi inapata uhuru yeye tayari kashakula nauli za wakoloni kadhaa.. sio poa. Ni bibi mahiri sana kwenye hoja zake ila wananchi wengi hukwazwa sana na chembechembe za udini alizo nazo. Mwisho wa siku bibi Faiza ni mtu asiyetishwa na maneno ya kumkatisha tamaa kwenye anachoamini.

3. MZEE PASCAL MAYALLA.
Mzee wetu ni muumini mzuri wa sheria ya KARMA. Huamini kabisa hakuna baya utakalofanya halafu karma isitimize wajibu wake wa kukuadhibu. Ila huwa najiuliza KARMA huwa inasahau anwani ya CCM au huwa inakumbuka ila CCM humpatia Karma ka-takrima kisha Karma kupotezea? Tangu nimezaliwa ninasikia CCM ikilaumiwa sana. Mzee Pascal ni mtu mwenye uzoefu mkubwa wa kufeli kwenye kugombea nafasi mbalimbali za uongozi. Criticism dhidi yake sio ya kitoto ila huyu dingii haterereki.

4. MZEE MOHAMED SAID
Mzee wetu ni miongoni mwa watu wachache wanaojua mambo mengi sana ya nchi yetu. Ila yeye kaamua kujizima data na kulazimisha kuwa bila familia ya Sykes hii Tanzania isingekua hivi. Kuwa kina Sykes ndo kama waliibeba TZ mabegani na kuhakikisha inapata uhuru. Huwezi mwelezea mtu mdini usimtaje huyu mzee wetu. Pamoja na yote bado mzee wetu ana ngozi ngumu sana. Hayumbishwi kwenye ishu zake za udini.

5. LUCAS MWASHAMBWA
Huyu jombi ndo staa mkubwa kwa sasa wa JF. Jamaa huwa anabubujikwa sana na machozi kila Mama Samia akiongea chochote. Mwenyewe hujiita kijana mzalendo ila wengi wanamshambulia kwa kumwita chawa.
Hii List Bila GENTAMYCINE ni Batili
 
Tofauti kabisa na kina Malisa GJ, Maria Sarungi au Martin Maranja ambao hawana kabisa uvumilivu kwa yeyote atakayekuwa kinyume na mawazo yao hawa wanaJF wanapaswa kutunukiwa tuzo za uvumilivu kwa kutojali mashambulizi ya watu pale wanapopost nyuzi.

1. ERYTHROCYTE
Huyu mfuasi kindakindaki wa chama cha Mbowe ni mfano wa kuigwa kwenye ulimwengu wa demokrasia. Huyu ni mtu aliyekula kiapo cha utiifu kwa mwenyekiti wa chama chake kiasi kwamba post zake nyingi huwa ni kumsifu chairman. WanaCCM wamekuwa wakimwandama kwa hoja na baadhi kutumia lugha za kuudhi ila huyu mfuasi wa Mbowe hajawahi rudi nyuma.

2. BIBI FAIZA FOXY
Bibi yetu ambaye inasemekana ndo alikuwa Slayqueen wa enzi za TANU, yaani nchi inapata uhuru yeye tayari kashakula nauli za wakoloni kadhaa.. sio poa. Ni bibi mahiri sana kwenye hoja zake ila wananchi wengi hukwazwa sana na chembechembe za udini alizo nazo. Mwisho wa siku bibi Faiza ni mtu asiyetishwa na maneno ya kumkatisha tamaa kwenye anachoamini.

3. MZEE PASCAL MAYALLA.
Mzee wetu ni muumini mzuri wa sheria ya KARMA. Huamini kabisa hakuna baya utakalofanya halafu karma isitimize wajibu wake wa kukuadhibu. Ila huwa najiuliza KARMA huwa inasahau anwani ya CCM au huwa inakumbuka ila CCM humpatia Karma ka-takrima kisha Karma kupotezea? Tangu nimezaliwa ninasikia CCM ikilaumiwa sana. Mzee Pascal ni mtu mwenye uzoefu mkubwa wa kufeli kwenye kugombea nafasi mbalimbali za uongozi. Criticism dhidi yake sio ya kitoto ila huyu dingii haterereki.

4. MZEE MOHAMED SAID
Mzee wetu ni miongoni mwa watu wachache wanaojua mambo mengi sana ya nchi yetu. Ila yeye kaamua kujizima data na kulazimisha kuwa bila familia ya Sykes hii Tanzania isingekua hivi. Kuwa kina Sykes ndo kama waliibeba TZ mabegani na kuhakikisha inapata uhuru. Huwezi mwelezea mtu mdini usimtaje huyu mzee wetu. Pamoja na yote bado mzee wetu ana ngozi ngumu sana. Hayumbishwi kwenye ishu zake za udini.

5. LUCAS MWASHAMBWA
Huyu jombi ndo staa mkubwa kwa sasa wa JF. Jamaa huwa anabubujikwa sana na machozi kila Mama Samia akiongea chochote. Mwenyewe hujiita kijana mzalendo ila wengi wanamshambulia kwa kumwita chawa.
Kwa hiyo umejipa namba 5 sio?
 
Entertainer 🤣
Charismatic 😂😂
Big fella.....😜😜😜
Huyu mkuu anavyoandikaga kwa msisitizo na mbwembwe nyingi huwa nikisoma maandiko yake inanijia sauti ya Haji manara akiwa anatilia msisitizo jambo hadi kuapia 😂
 
Masahihisho: Erythrocyte hajawahi kuwa mfuasi wa Mbowe, Ni mfuasi wa Chadema, ni mwandishi wa Jf anayehusika na siasa, na huwezi kuhusika na siasa za Tanzania bila kutaja Chadema.

Kwahiyo kuniita Mfuasi Binafsi wa Mbowe ni ama umeamua kunidhalilisha kama walivyonifanyia mamluki wengi wa ccm au umeamua kupotosha makusudi
Huyu Mfanyakazi wa Mbowe anakataa kazi yake,
 
Back
Top Bottom