Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,780
- 6,133
Mi nipo Buswelu karibu na Ofisi ya kata nakula bataUpo Buswelu kona, zembelwa, wilaya au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nipo Buswelu karibu na Ofisi ya kata nakula bataUpo Buswelu kona, zembelwa, wilaya au?
Upo Buswelu kona, zembelwa, wilaya au?
Mimi kwangu natizamana na ofisi ya mkuu wa wilaya Ilemela hapa.Mi nipo Buswelu karibu na Ofisi ya kata nakula bata
SiaminiNipo nyegezi
Wapi hiyo me niko mchafukoga hapaIPO igogo hapa jirani kabisa na kiwanda cha voil pia karibu na while ya azimio..karibu sana
Kwa duka LA george au kwenye grocery ya Silimilwa?(mkinga)Wapi hiyo me niko mchafukoga hapa
Me Nahisi umependa tuu hilo jina "nyegezi" hata haupo Mwanza!!!Nipo nyegezi
Vipi wewe sio muumini wa pale Mzambarauni kwa KAJOGEJO?Mimi kwangu natizamana na ofisi ya mkuu wa wilaya Ilemela hapa.
Nikitokaga kwenye bread winning huwa napumzika pale Mombasa pub buswelu center kwa mapumziko.
niko mkuuhabari wana JF,
Naomba kama wanaJF waishio Mwanza tufahamiane. Namaanisha wanaoishi Mwanza sio waliozaliwa Mwanza
karibuni
Mie nipo mkolani tena utemini yalipotokea mauaji huku msikitinihabari wana JF,
Naomba kama wanaJF waishio Mwanza tufahamiane. Namaanisha wanaoishi Mwanza sio waliozaliwa Mwanza
karibuni
Sie wa Mwanza tunatafutana kwa amani my ndugu, na pia members wa JF - Mwanza hatuna matatizo wala ugomvi na sheria za nchi yetuNdo wale wanautumiwa kuchunguza watu wapo maeneo gani!
Be keen!