The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
ukisoma post zake nyingi huwezi kuhisi hivyo...Boss akija kumaanisha ni kilimo cha sex itakuwaje??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukisoma post zake nyingi huwezi kuhisi hivyo...Boss akija kumaanisha ni kilimo cha sex itakuwaje??
Mhhhhhhhukisoma post zake nyingi huwezi kuhisi hivyo...
Nisaidieni jamani...
Kila mara naona wakina baba wazee wakiwa ndio wasemaji wakuu kwenye mambo ya kilimo kwanza!
Ni kweli wao ndio walimaji?
Nijuavyo mimi mtoto wa mkulima asilimia 90 ya watu wanao tekeleza sera ya kilimo kwanza ni kina mama.
Mi kijijini kwetu mama ndie analima, kuna mjomba angu ana wake 3 wake zake ndo wanao lima mashamba
Akina baba kushika jembe sijui kwa nini ni ngumu kwao wao kazi za ujenzi kuandaa mabanda lakini sio kilimo.
Na wakimaliza wababa hizo shughuli wanazo ita za wanaume basi kutwa pombe na kucheza bao
Ayaaaaaa mi nimeingia chaka nikajua kilimo kwanza ya Mizengwe Kayanza dah kumbe kilimo cha kunako lol
WOS unafahamu kuna kidonge cha bluu siku hivi kimeleta usawa kati ya vijana na wazee.
ukisoma post zake nyingi huwezi kuhisi hivyo...
Hapa si MMU ? halafu Dena ameshapata keyboard na screen kwa ajili yako mtafute.Mkuu
Hii mada ni ya hapa kweli??
Hapa si MMU ? halafu Dena ameshapata keyboard na screen kwa ajili yako mtafute.
hivi neno kilimo limekuwa gumu sana , mbona mnashindwa kulielewa, mimi naona 2 huko kwenye uhusiano na mapenzi allikopitishia hii thread ndo amekosea njiaUnamaanisha kilimo kipi ndugu?
jiulize wewe kama shamba huwa unazalisha matunda?Nisaidieni jamani...Kila mara naona wakina baba wazee wakiwa ndio wasemaji wakuu kwenye mambo ya kilimo kwanza!Ni kweli wao ndio walimaji?
Unamaanisha kilimo kipi ndugu?
WOS
neno kilimo kwanza kwenye jukwaa la mmu
linamaanisha kitu kingine,thats why
tunaguna
kilimo kwanza=kulima mashambani
kilimo kwanza=sex
kilimo kwanza=kunywa pombe
kilimo kwanza=kupiga soga
the list is endless
nahitaji kusoma 'katikati ya mistari' WOS au ni kilimo kwanza hikihiki cha siasa?
nafikiri uko sahihi
wos kakosea jukwaa ...
wos atarudi kutoa maelezo
but so far alimaanisha kilimo cha kawaida cha mashambani na sio sex...
lazma wawe wasemaji wakuu cuz they are experienced kilimo maan!
Boss akija kumaanisha ni kilimo cha sex itakuwaje??
wos hawa wazee wengi mko nao huko uliko.....wewe waulize watakujibu
mhhhhhhhhhhhh
hisia zetu siui zikoje lol
Kilimo kwanza ndio, lakini nani anamiki shamba?
Nisaidieni jamani...
Kila mara naona wakina baba wazee wakiwa ndio wasemaji wakuu kwenye mambo ya kilimo kwanza!
Ni kweli wao ndio walimaji?
well.. wao ndio wanahesabu fedha za mavuno kwanza. Na ndio watumiaji wa kwanza wa faida ipatikanyo. Na siwezi kushangaa walioandaa mpango mzima wa kilimo kwanza walikuwa ni wanaume