Wanamazingaombwe ni watu wa namna gani na kwanamna gani wanapata uwezo wa kufanya yote?

Mazingaombwe yale mara mtu kajikata kichwa kimedondoka chin then kajiunga na mengine km hayo ni UCHAWI KM UCHAWI MWINGINE ASIKUDANGANYE MTU.
 
 
Hakuna uchawi wala spirits. Mazingaombwe au magic ni ujanja tu na kuwa na mikono myepesi na uwezo wa kucheza na akili za watu (illusion). Kuna vitabu na videos nyingi sana Youtube zinazoonyesha jinsi ya kufanya magic tricks.
Unamuona mtu anatembea juu ya maji alafu unasema ni mikono myepesi na kucheza akili za watu?!! Embu fafanua tafadhali
 
Unamuona mtu anatembea juu ya maji alafu unasema ni mikono myepesi na kucheza akili za watu?!! Embu fafanua tafadhali
Nenda youtube kuna video kibao wanaonyesha jinsi magic tricks mbali mbali zinavyofanywa.
 
Binafsi wengi wanasema ni kuwa na mikono myepesi na kucheza kwa akili za watu kwa hizo magic moments ndogo ndogo kama kucheza na karatasi like kubadirisha karatasi kuwa pesa, michezo ya karata but when it comes to great magic moments kama za kukanyagwa na gari mtu anapasuka tumbo, kukatwa kichwa alafu baadae mwili unajiunga, kutembea juu ya maji, kuingiza peni puani na kutokea mdomoni nguvu za giza ni lazima zitumike ili kufanikisha hiyo michezo
 
What should I search in youtube to satisfy my curiosity? Maana ukiandika magics au how magic is being done wanakuletea magic shows zao. Hayaniambie mkuu
Nenda youtube kuna video kibao wanaonyesha jinsi magic tricks mbali mbali zinavyofanywa.
 
Huu ni uchawi, ila wahusika huwa hawataki kuhusishwa na uchawi sababu si kitu kizuri.

Hivyo wanaishia kusema ni akili tu.
 
Hakuna cha akili nyingi hapo ni akili butu mtu anageuza karatasi kuwa pesa bado ni maskini haaaaaa!
 
Hakuna uchawi wala spirits. Mazingaombwe au magic ni ujanja tu na kuwa na mikono myepesi na uwezo wa kucheza na akili za watu (illusion). Kuna vitabu na videos nyingi sana Youtube zinazoonyesha jinsi ya kufanya magic tricks.
Ujanja+majics
 
Uchawi upo, ila msiuamini. Miaka yanyuma niliwai kushuhudia tukio fulani, hakika tukio lile halikua lamzaa mzaa. Jamaa alikua na uwezo wakula beseni zapilau, zaidi ya 10. Jamaa alikua nauwezo wakuzima taa na kuiwasha. Namengine mengi. Dunia inamambo. Tembea ukaone....
 


Mmmh hawa dinamo duh hawawezekana wana fanya impossible tricks ,ndio nimezichek youtube duh
 
Nimekubalii aisee hamna uchawi wala nn ni mafunzo tuu na ujuzi mkubwaa
 
Hakuna uchawi it's just an art of fast tricks just go Google "Breaking magicians codes biggest magic secrets revealed"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…