Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Ndiyo kila Mji una sehemu porshe na sehemu kajamba nani. Wewe unachukua mitaa ya Posta na Kariakoo Dar es Salaam halafu unalinganisha na kajamba nani ya Mbeya yaani Ilemi, Isanga, Mwanjelwa!Kwa hiyo unafananisha Dar na huo uchafu uliozagaa hapo Mbeya nzima?
Mbona huitaji Uzunguni, Block X, Block T, Ivumwe nk