Wanambeya, mtakuwa wajinga kutomchagua tena Spika Tulia

Wanambeya, mtakuwa wajinga kutomchagua tena Spika Tulia

Kwanza kama mwana CCM, kada, nampongeza sana Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwa kupewa wadhifa wa juu, Bunge la MabunGe, IPU.

Huo ni wadhifa umeleta sifa si kwa Tanzania tu, bali Afrika kwa ujumla.

Tukirudi bongo, hasa kule kwa wasokile, wasafwa, wanyiha, wapangwa na wakinga, kwenu huo ni mtaji mkubwa.

Tulia aombe kitu gani kwa mama Samia halafu Samia amkatalie?

Dkt. Tulia mtaji wa maendeleo.

Lakini Mbeya kuna mijitu ya ajabu.

Kikwete aliwahi sikika akilalamika, eti Halmashsuri na Mkoa hawana eti sehemu ya kujenga Chuo Kikuu cha DSM, tawi la Mbeya!

Tukumbuke Chuo Kikuu cha Mandela kilikuwa kijengwe Mbeya, mji alimoingilia mpigania uhuru Mandela.

Kwa kukosa ushirikiano wenu kikajengwa Arusha.

Mbeya msiwe low achievers!
Huo wadhifa unawasaidia kitu gani wana Mbeya?
 
sidhani kama watafanya makosa hayo, na sidhani kama inawezekana hata kidogo.
Mbeya ni waerevu sana, wanapenda Maendeleo.
Kumchagua Dr. Tulia ni kuchagua Maendeleo.
Kwa hiyo nyinyi akina Tlaatlaah ndiyo mumekuwa recruited na Tulia Trust kuja kumpigia debe humu.

Mwambieni hiyo kigagula mwenye sura ngumu kuwa asahau ubunge wa Mbeya. Na this time around Magufuli aliyempa hayupo
 
Kwa hiyo nyinyi aki a Tlaatlaah ndiyo mumekuwa recruited na Tulia Trust kuja kumpigia debe humu.

Mwambieni hiyo kigagula mwenye sura ngumu kuwa asahau ubunge wa Mbeya. Na this time around Magufuli aliyempa hayupo
kichinjio chenyewe huna 😜
Yule muMama kitaifa ni motroo kimataifa ndio usiseme,
Mbeya nikuchukua tu, na kuweka waaaaa.......kama ananawa vile huyo mjengoni..

Una far nchezo nn
 
IMG_2941.jpg
 
Kwani safari hii mtashiriki? au mtaendelea na utoaji taarrifa tu...

Maana nimeskia puppet amesense defeate ameanza mazingeumbwe

Umemsikia Mzee Warioba alichosema?. Kasema katiba mpya ipatikane kabla ya 2025. Tatizo mnawaza kuiba kura na kuwafanya watanzania wajinga kuwa hawana Cha kufanya. Endeleeni tu
 
Umemsikia Mzee Warioba alichosema?. Kasema katiba mpya ipatikane kabla ya 2025. Tatizo mnawaza kuiba kura na kuwafanya watanzania wajinga kuwa hawana Cha kufanya. Endeleeni tu
sasa nisikilize,
Tena uniskilize vuzuri niekueleze vuzuri I can confirm to you without fear of contradiction,

Mzee wetu huyu ambae sote tuna muheshimu sana na tunampenda kwelikweli.
Mawazo na maoni yake mazuri sana yamesikika, na kwakweli hayo yataunganishwa na ya wananchi wengine mchakato wa katiba mpya utakapofufuliwa mapema 2026 mara baada tu ya uchaguzi mkuu.

Subra, ustahimilivu na ungwana ni jambo muhimu sana kwasasa wakati serikali ikianza maandalizi ya uchaguzi serikali za mitaa mwishoni mwa mwaka ujao 2024 na mwa unafuatia 2025 uchaguzi mkuu.

Hakuna muda wa kufanya kingine kwa sasa. Mambo yote haya muhimu sana kwa maslahi mapana ya Taifa, yanahutaji maandalizi kabambe, muda wa kutosha, mipango mizuri lakini zaidi sana fedha za kutosha.

Kupanga ni kuchagua,
Serikali imeona ni Busara kuanza na chaguzi kisha baada ya chaguzi ni Katiba mpya.

Salimia Sana Mzee Wariaba baba yetu wa Taifa.
 
Hata mama Mongella alikuwa Rais wa Bunge la Africa ila akapigwa Chini 2010 na Sylvester Machemli a Novice. Usipende kuongea ujinga.
Na kwa ujinga wako wewe unayeijua Inyala tu, Mwanza leo iko wapi.
Ninyi Mbeya hamshindani na hata Igoma, wajinga ninyi.
 
Back
Top Bottom