Wewe pimbi Lord denning nenda kaangalie tena takwimu za uchumi za mwaka 2022. Mbeya inapitwa na Dar es Salaam, Kilimanjaro na Iringa tu.
Usifananishe Mbeya na mikoa ya hovyo kama Dodoma, Singida na Tabora. Sisi tuko another level
Ndiyo hivyo nimeshasema kama umnatoka huko basi wewe ni wa hovyoHuns akili na huna adabu! Mikoa ya hovyo maana yake nini? Ndiyo maana unanuka kwa ukabila wewe!
unatumia kigezo gani kuwa wana Mbeya ni wavivu? Wewe hujafika Mbeya, nakuhakikishia katika mikoa yote ni Mbeya tu ndiyo haina ombaomba wa mitaani kama ilivyo miji mingineNyie wapwa zangu ni wavivu sana. mshukuru mna ardhi na hali ya hewa nzuri.
Kwa siasa zetu zilivyo, tunapenda watu wa watu. Sio wale wanaoweza deliveryNimekupa like ya kicheko ingawaje mie ni kisukuma tu!
Nina AkiliHuna akili
Mkuu kuna mijitu mijinga sana huku kwetu.π€£ π€£ π€£
Kwa hiyo sugu kwa miaka 10 aliyokaa ndiyo amewajengea mabarabara ya kutosha.
Nyie kwa sababu ya ujinga wenu endeleeni kumpiga madongo tulia mwenye ushawishi, huku mkimshangilia sugu ambaye anajisifia amejenga ghorofa. Mtakumbuka shuka asubuhi hii hapa.
ZimefubaaNina Akili
Ulikuwa wa ngapi darasani, mi nilikuwa wa kwanza!Zimefubaa
Nafuu sisi wa nyumba za matope kuliko nyinyi mnalala na mifugo nyumba moja huko MwanzaSwadakta!
Na lini njiti ya baba yako ilipiga kura maendeleo na kukutoa kwenye nyumba za tope kwenu Mafiati , Mwanjelwa!
Hiyo kizamani sana.Ulikuwa wa ngapi darasani, mi nilikuwa wa kwanza!
Dr. Tulia = Maendeleo hasi!sidhani kama watafanya makosa hayo, na sidhani kama inawezekana hata kidogo.
Mbeya ni waerevu sana, wanapenda Maendeleo.
Kumchagua Dr. Tulia ni kuchagua Maendeleo.
Na bado napeta!Hiyo kizamani sana.
Kama bado hujui basi mindset yako ni bado ya ugali na maharage, na si zaidi ya hapo.Khaaaah nchi hii tatizo si upigaji wala nini... Tatizo kubwa kuliko ni mindsets za watawaliwa!
Hiyo IPU inaleta fursa zipi kwa wana Mbeya na waTanzania?
Nafuu sisi wa nyumba za matope kuliko nyinyi mnalala na mifugo nyumba moja huko Mwanza
Nafuu sisi wa nyumba za matope kuliko nyinyi mnalala na mifugo nyumba moja huko Mwanza
Lete majibu...Kama bado hujui basi mindset yako ni bado ya ugali na maharage, na si zaidi ya hapo.
Mkuu kuna mijitu mijinga sana huku kwetu.
Hiyo mijitu inaamkia nyumba za tope na ina lala jioni nyumba za tope na choo cha shimo, halafu mijitu hii inajisifia inatoka Mbeya.