eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Wewe pimbi Lord denning nenda kaangalie tena takwimu za uchumi za mwaka 2022. Mbeya inapitwa na Dar es Salaam, Kilimanjaro na Iringa tu.
Usifananishe Mbeya na mikoa ya hovyo kama Dodoma, Singida na Tabora. Sisi tuko another level
Nyie wapwa zangu ni wavivu sana. mshukuru mna ardhi na hali ya hewa nzuri.