Wanamibia wang'aka baada ya watoto wanne wa Rais kujumuishwa kwenye ujumbe wa Serikali kwenye mkutano wa hali ya hewa COP28

Wanamibia wang'aka baada ya watoto wanne wa Rais kujumuishwa kwenye ujumbe wa Serikali kwenye mkutano wa hali ya hewa COP28

Waafrika wamemiminika kwa wingi sana huko Dubai inawezekana waarabu wanagawa ela na tende !
Nchi nyingi za afrika wamepeleka ujumbe mkubwa sana pasipo ulazima wowote tofauti na USA na Europe au Asia !
Afrika kupiga hatua kubwa kimaendeleo itakuwa ndoto
 
Back
Top Bottom