Wanamuziki wa Kimarekani walioweka mistari ya Kiswahili ndani ya nyimbo zao

Umeanza vizuri sana ila huko mwisho duh.... Ila poa.
 
Straight conversatin with my comrades kickin swahili-tupac kwny nyimbo inaitwa streetfame

Pia kwny nyimbo troublesome 1996 kuna verse anasema screamin https://jamii.app/JFUserGuide y'all niggas in swahili.
 
matekani [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[Jay-Z:]
I'm a gorilla in the fvckin' coop
Finna pull up in the zoo
I'm like Chief Keef meet Rafiki
 
Mbona net wanasema yupo alive us?
 
A Team kuna sehemu wanaongea kiswahili, sehemu wanakagulia passport, nimesahau maneno exactly ila walitaja somesort of Zanzibar

Nikita kuna sehemu percy aliongea kiswahili, sikumbuki episode ya ngapi exactly
naam A TEAM nikweli "",kabisa"" hahaaa ila jamaa wale ni vichaa
 
kuna movie inaitwa The Human Antipede, ni horror.....kuna mahala yule binti Sarah alitamka "sura yako chachu kama embe za Kibada"
Nilirudisha mara mbili mbili ili kuhakiki.....kwelk kiswahili kimetanuka....tanuuuu.
hahaahaaaa we msenge " umevurugwA kweli aiseee
 
duuuuhh nilikuwA sijainyaka hiyo ngoja niende YouTube nikahakiki
 
Tupac ktk Juice, kule picnic alitambulishwa mtoto anaitwa IMANI! Pia hip hop ina mtu anaitwa TALIB KWELI! Tyson alipomng'ata Evander, baadae alimwambia "bht mbaya mtu wng"
hahaaa " eti nini ""? acha masiharA "" eti bahati mbaya mtu wangu
 
hahaaaa mamaeee
 
Wolf warrior II
"China na Afrika ni marafiki"
 
Metro boomin aliishia kupost kwa kiswahili
 


Cha kushangaza vijana wenu wa bongo fleva (wasanii uchwara wa kidigitali) wanajifanya hawajuwi lugha yao Mama wakati hata Kiingereza hawakiwezi. Tupitishe katiba mpya ya kusaka vijana kama hawa na kuwanyonga, tumewachoka kwa kuhaibisha taifa.
 
nas aliweka hayo maneno na damian mwishoni alisema that is the language i learn from ghana na sio tanzania
Dah Google inazidi kua na akili watu wanazidi kupunguza uwezo wa kufikiri.....kwahiyo hata kugoogle issue
[Nas]
And I'm shrewd about decimals
And my man'll speak Patois
And I can speak rap star
Y'all feel me even if it's in Swahili
habari gani

[Damian Marley]
nzuri sana
Switch up the language and move to Ghana
 
asante sana
 
Deathrow record ukutani palikua pameandikwa "Damu" mwandishi akamuuliza suge Knight inamaansha nini akajibu means blood in Swahili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…