Wanamuziki wa Kimarekani walioweka mistari ya Kiswahili ndani ya nyimbo zao

Wanamuziki wa Kimarekani walioweka mistari ya Kiswahili ndani ya nyimbo zao

Heee tuhabarishe Amar Shakur alikuwa mchaga?
Huyo anatoa chai tu! Amaru shakur alikua black panther ambao wengi wao badae walirudi Africa kwenye nchi tofauti, shakur na wenzie walisettle arusha ukienda maeneo ya arusha university wapo wengi tu hakuna na uchagga wala umeru!
 
duuuuhh nilikuwA sijainyaka hiyo ngoja niende YouTube nikahakiki
kwenye huo wimbo hata neno karamu ninla kiswahili maana yake ni party au tafrija japo karamu inajumuisha kila kunywa na kuburudika na burudani mabli mbali sio vinywaji pekee

Sent from my SM-G900FD using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom