Wewe kiazi kweli....... Melody ndio zimefanana! Idea ni mbili tofauti chukua hii ' Mokolo nakokufa maana yake ni siku nikifa'[emoji13]kilwa jazz huo wimbo wao ni wazi idea walitoa kwenye wimbo wa tabu ley-mokolo nakokufa hivo basi haukuwa mbele ya muda bali walipata kitonga
Acha ubishi wa kipumbavu.Wewe kiazi kweli....... Melody ndio zimefanana! Idea ni mbili tofauti chukua hii ' Mokolo nakokufa maana yake ni siku nikifa'[emoji13]
Mtusamehe wakubwa lakini ndio hvi sasa...kipindi hiko simu chacheThe One and Only 2Pac, unaweza kumsikiliza siku nzima na usimchoke coz his punchlines hit harder
View attachment 2064096
"Naleta mashitaka kwako baba Paroooookooooo... "Sikinde-nawashukuru wazazi wangu wakati wowote,,ushauri wao umeniletea mafanikio mema,,sasa naishi na watu vizuri.
Hii ngoma ya kizee lakini inaishi.
Lucky dube has a song inaitwa monsterLucky Dube
Mbona maudhui yapo tofauti kabisakilwa jazz huo wimbo wao ni wazi idea walitoa kwenye wimbo wa tabu ley-mokolo nakokufa hivo basi haukuwa mbele ya muda bali walipata kitonga