Wanamuziki waliowahi kutoa nyimbo zilizokuwa mbele ya wakati wao

Wanamuziki waliowahi kutoa nyimbo zilizokuwa mbele ya wakati wao

Ali K mapenz yanarun dunia..ndan ya beat kali kutoka kwa Man water....kwel umemtendea haki...anastahili....lkn mbona Mond simuon kweny list?
Nyimbo za Mond ni janja janja. Anatoa nyimbo ili mradi apige pesa ubora hakuna.. angalau zile za mwanzoni alijitahidi
 
namba moja weka ccm mbele kwa mbele. Apo Nitakuelewa
 
Lucky Dube - Crazy world

Nanukuu "So far so good still living today but you don't know what tomorrow brings in this crazy world"

Lucky Dube - Teach the world

"it takes a million people to build up a good reputation but it takes one stupid fool to destroy everything"
Naunga mkono usemi
 
OLIVER MTUKUDZI - TODIIIII
" He todii (senzeni)"
What shall we (tingadii)
Senzenjani (what shall we do)
Ho todii (senzeni)
What shall we (tingadii)
Senzenjani (what shall we do)
chifu ile gitaa solo na organ si vya dunia hii
 
WANAMUZIKI WALIOWAHI KUTOA NYIMBO ZILIZOKUWA MBELE YA WAKATI WAO

Nawasalimu kwa jina la chama pendwa CCM. Namshukuru Mungu tumefika leo salama. Ninafurahi kuufunga mwaka nikiwa nimeandika uzi mzuri wa kisomi. Siku za hivi karibuni wengi wenu mmenisihi niseme neno kuhusu tamko la Spika Ndugai dhidi ya uongozi wa Rais Samia Suluhu kuhusu mikopo. Kwa kifupi kabisa niseme kwa lugha ya kibeberu "The message is right but Ndugai is a wrong messenger".

Turudi sasa kwenye lengo la uzi. Hapa ni majina ya wanamuziki na nyimbo walizotunga ambazo ni kali hadi leo na zitaendelea kwa kali. Ni kama vile hawakuwatungia watu wa wakati wao. Walikuwa mbele ya muda. Hii list ni wanamuziki wa aina zote, wa zamani na wa sasa. Twende pamoja;

1. Papa Wemba;
Haina ubishi hayati Papa Wemba toka Congo alikuwa mbele sana ya muda wake. Vibao MARIA VALENCIA, SHOW ME THE WAY na WAKE UP (feat Koffi) ambavyo havikuwa na masebene ya kilingala ambavyo hadi leo vikipigwa ni moto. Vilitoka wakati masebene yakiwa ndo habari ya mjini... hitsongs karibu zote zilikuwa ni sebene za hatari. Lakini leo hii zile sebene hazina nafasi mbele ya hivyo vibao.

2. R Kelly;
Huyu mwamba toka Chicago USA ambaye ni mfalme wa R&B kafanya kila kitu alichotakiwa afanye kwenye muziki. Wimbo wake FIESTA nauchukulia kama wimbo ulitoka kabla ya wakati. Ladha yake ni tamu hadi leo.

3. Tabora Jazz Band;
Hawa wakali wa miaka ya 70 walitoa hitsong RANGI YA CHUNGWA ambayo hadi leo kwenye sherehe za harusi huwa inapendwa. Watu wazima wanaelewa zaidi.

4. Kilwa Jazz Band;
Hitsong yao ni NAOMBA NIPATE LAU NAFASI. Kaisikilize hutajutia.

5. Mbilia Bel;
Huyu mama yetu kutoka DRC ni legend asiyechuja. Ana nyimbo nyingi kali za rhumba lakini wimbo wake NAKEI NAIROBI hadi leo hii ukipigwa ni balaa.. ni rhumba moja matata sana. Halafu huyu mama mbona hazeeki? Bado ana shepu moja matata sana ingawa sura inamsaliti kwa kuanza kuonyesha uzee.

6. King Crazy GK;
GK akiwa na East Coast Team walitoa hits nyingi lakini TUTAKUKUMBUKA DAIMA na HII LEO hata zikipigwa leo bado zina utamu wa hali ya juu.

7. Rose Muhando;
Huyu mama nadhani anakubalika nje ya Tanzania kuliko ndani. Hadi mwaka 2014 pale Nairobi city centre ilikuwa ni ngumu kutembea hata mita 300 bila kusikia wimbo wake ukipigwa. Kwangu mimi NIPE UVUMILIVU ni wimbo ambao utaishi siku zote.

8. Ali Kiba;
MAPENZI YANA-RUN DUNIA ni wimbo bora wa muda wote.

9. Koffi Olomide;
Wimbo SI SI SI akimshirikisha mwanadada Coumba Gawlo ulitungwa wakati ukiwa hauhitajiki sana. Lakini miaka kadhaa baadae ndo thamani yake inazidi kujulikana. Pia kibao ANDRADA ni hit ya muda wote. Viva Koffi.

10. Shilole/Shishi baby/Shishi Trump;
Huyu mkali wa bongo fleva ana hitsongs nyingi sana ila wimbo wake PAKA LA BAR ndo wimbo bora wa muda wote. Huu wimbo ulitoka kabla ya wakati wake. Mkausikilize tena.

NB: Hiyo list sijaiweka kwamba wa kwanza ndo bora zaidi. PIA WANAJF TUNAWEZA TUPIA NYIMBO BORA ZA WAKATI WOTE ILI TUKASIKILIZE.

Nyimbo pendwa sio zilizo mbele ya wakati. Kitu kikiwa mbele ya wakati maana watu hawakielewi au hawakielewi vizuri pale kinapotoka halafu baadae ndo wanakuja kukielewa.

Iliyokuwa mbele ya wakati mfano ni "Mambo kwa soksi" aliyoitoa marehemu Dr. Remmy Ongala miaka ya 80 katika kuhamasisha watu wavae kondomu (soksi) ili kujilinda na UKIMWI ambao ulikuwa umeshaingia ukanda wa Kagera na mpakani na Zaire.

Wimbo huu ulifungiwa na BASATA kwamba ulionekana ni wa matusi kwa kuongelea kondomu.

Ni mpaka Mkapa alipokuwa Rais na kuuvalia njuga UKIMWI ndo masuala ya kondomu yakawa jambo la kawaida.

Hivyo basi wimbo huo wa Dr. Remmy ulikuwa mbele kwa miaka kumi.
 
Kuna msanii anaitwa Nemo ana ngoma inaitwa wife, jamaa alijaribu kuleta ladha tofaut kwny game... ngoma genre ya euro dance hivi naona wabongo hawakumuelewa sana...banana zorro nae akatest bongo rock ikabuma 😂😂😂
 
OLIVER MTUKUDZI - TODIIIII
" He todii (senzeni)"
What shall we (tingadii)
Senzenjani (what shall we do)
Ho todii (senzeni)
What shall we (tingadii)
Senzenjani (what shall we do)
Dah, kumbe ndo hivyo😂😂😂

Mimi huwa naimba 'Washawilu'

 My whole has been a lie😂😂
 
Duble-dubble- Mayaula Mayoni
Carolina - Awilo longomba.
Maya - Simaro Lutumba "le Prophet"
Maya - Bombenga (copy)
 
MKuu nimefika namba 10 nikajua kabisa bangi yako unavutaga kushabu,au ww ndio shishi bebi au mume wake.Yupo wapi the goat himself Ngwea ambaye yeye mwenyewe alikuwa mbele ya muda wake,pia sijamuona baba style the best story teller of all the time?
 
WANAMUZIKI WALIOWAHI KUTOA NYIMBO ZILIZOKUWA MBELE YA WAKATI WAO

Nawasalimu kwa jina la chama pendwa CCM. Namshukuru Mungu tumefika leo salama. Ninafurahi kuufunga mwaka nikiwa nimeandika uzi mzuri wa kisomi. Siku za hivi karibuni wengi wenu mmenisihi niseme neno kuhusu tamko la Spika Ndugai dhidi ya uongozi wa Rais Samia Suluhu kuhusu mikopo. Kwa kifupi kabisa niseme kwa lugha ya kibeberu "The message is right but Ndugai is a wrong messenger".

Turudi sasa kwenye lengo la uzi. Hapa ni majina ya wanamuziki na nyimbo walizotunga ambazo ni kali hadi leo na zitaendelea kwa kali. Ni kama vile hawakuwatungia watu wa wakati wao. Walikuwa mbele ya muda. Hii list ni wanamuziki wa aina zote, wa zamani na wa sasa. Twende pamoja;

1. Papa Wemba;
Haina ubishi hayati Papa Wemba toka Congo alikuwa mbele sana ya muda wake. Vibao MARIA VALENCIA, SHOW ME THE WAY na WAKE UP (feat Koffi) ambavyo havikuwa na masebene ya kilingala ambavyo hadi leo vikipigwa ni moto. Vilitoka wakati masebene yakiwa ndo habari ya mjini... hitsongs karibu zote zilikuwa ni sebene za hatari. Lakini leo hii zile sebene hazina nafasi mbele ya hivyo vibao.

2. R Kelly;
Huyu mwamba toka Chicago USA ambaye ni mfalme wa R&B kafanya kila kitu alichotakiwa afanye kwenye muziki. Wimbo wake FIESTA nauchukulia kama wimbo ulitoka kabla ya wakati. Ladha yake ni tamu hadi leo.

3. Tabora Jazz Band;
Hawa wakali wa miaka ya 70 walitoa hitsong RANGI YA CHUNGWA ambayo hadi leo kwenye sherehe za harusi huwa inapendwa. Watu wazima wanaelewa zaidi.

4. Kilwa Jazz Band;
Hitsong yao ni NAOMBA NIPATE LAU NAFASI. Kaisikilize hutajutia.

5. Mbilia Bel;
Huyu mama yetu kutoka DRC ni legend asiyechuja. Ana nyimbo nyingi kali za rhumba lakini wimbo wake NAKEI NAIROBI hadi leo hii ukipigwa ni balaa.. ni rhumba moja matata sana. Halafu huyu mama mbona hazeeki? Bado ana shepu moja matata sana ingawa sura inamsaliti kwa kuanza kuonyesha uzee.

6. King Crazy GK;
GK akiwa na East Coast Team walitoa hits nyingi lakini TUTAKUKUMBUKA DAIMA na HII LEO hata zikipigwa leo bado zina utamu wa hali ya juu.

7. Rose Muhando;
Huyu mama nadhani anakubalika nje ya Tanzania kuliko ndani. Hadi mwaka 2014 pale Nairobi city centre ilikuwa ni ngumu kutembea hata mita 300 bila kusikia wimbo wake ukipigwa. Kwangu mimi NIPE UVUMILIVU ni wimbo ambao utaishi siku zote.

8. Ali Kiba;
MAPENZI YANA-RUN DUNIA ni wimbo bora wa muda wote.

9. Koffi Olomide;
Wimbo SI SI SI akimshirikisha mwanadada Coumba Gawlo ulitungwa wakati ukiwa hauhitajiki sana. Lakini miaka kadhaa baadae ndo thamani yake inazidi kujulikana. Pia kibao ANDRADA ni hit ya muda wote. Viva Koffi.

10. Shilole/Shishi baby/Shishi Trump;
Huyu mkali wa bongo fleva ana hitsongs nyingi sana ila wimbo wake PAKA LA BAR ndo wimbo bora wa muda wote. Huu wimbo ulitoka kabla ya wakati wake. Mkausikilize tena.

NB: Hiyo list sijaiweka kwamba wa kwanza ndo bora zaidi. PIA WANAJF TUNAWEZA TUPIA NYIMBO BORA ZA WAKATI WOTE ILI TUKASIKILIZE.
Bila kumtaja Jabali la Muziki Hayati Marijan Rajab huu uzi utakuwa umevunda, kuna mwaka Bunge la Tanzania liliazimia aandikiwe kitabu juu ya mchango wake kwenye Fasihi za Tanzania
 
Kuna moja toka kwa aliekuwa mbunge wa watu na wanyama prof jay inaitwa bongo daslam akiwa na komando jidee hii utadhani imetungwa jana
 
Back
Top Bottom