π machozi ya Lucas Mwashambwa tokeaWatanzania tunabubujikwa na machozi ya furaha kwa huruma ya mama.ππ
Uongo huo.Huko KIA wananchi 34 wamebomolewa nyumba zao huku fidia ikiwa haijalipwa kwa madai taratibu za kibenki hazijakamilika. Mkuu wa mkoa anadai pia ni 'huruma ya mama' wao kulipwa fidia kwasababu ni wavamizi eneo hio!
Kama waliamua kuwalipa kupitia kodi zetu, kwanini wasingewalipa ndio wabomoe?
Uongo huo.Hata Jangwani wamewanyima fidia ya ardhi watu wenye hati na ofa mpaka unatafakari hii ni serekali ya namna gani.
Umeshaambiwa ni huruma ya serikali tu that's why watalipwa. Hayo si madai ni hisani, hisani hutakiwi kuipigia kelele.Huko KIA wananchi 34 wamebomolewa nyumba zao huku fidia ikiwa haijalipwa kwa madai taratibu za kibenki hazijakamilika. Mkuu wa mkoa anadai pia ni 'huruma ya mama' wao kulipwa fidia kwasababu ni wavamizi eneo hio!
Kama waliamua kuwalipa kupitia kodi zetu, kwanini wasingewalipa ndio wabomoe?
Hakuna ambae anastahiki kulipwa ambae hajalipwa.Mpe ukweli dada yangu kipenzi
Ova
Atakuwa anabubujikwa na machozi huku kashika kibuyu cha maji anakunywa.
Lucas Mwashambwa ndg yangu bana,ila kama machozi kayatoa sana na anaendelea kuyatoaAtakuwa anabubujikwa na machozi huku kashika kibuyu cha maji anakunywa.
Itakuwa Waarabu wa Oman wana haraka ya kuchukua eneoHuko KIA wananchi 34 wamebomolewa nyumba zao huku fidia ikiwa haijalipwa kwa madai taratibu za kibenki hazijakamilika...
Uongo namna gani? watu wamenyimwa fidia zao za ardhi. Hasa wenye hati na ofa msimbazi/jangwani dhulma ya namna gani hiiUongo huo.
Sehemu ya haki....mnaweka huruma.....chawa banaWatanzania tunabubujikwa na machozi ya furaha kwa huruma ya mama.ππ
Jangwani DSM hakuna hati,vile ni viwanja vya michezo toka kitambo! Au tuseme ni maeneo ya wazi,kama vile viwanja vya Mnazi mmoja!!Hata Jangwani wamewanyima fidia ya ardhi watu wenye hati na ofa mpaka unatafakari hii ni serekali ya namna gani.
Acheni kujaribu kumtisha mama, hata hivyo hategemei kura zenu.Uongo namna gani? watu wamenyimwa fidia zao za ardhi. Hasa wenye hati na ofa msimbazi/jangwani dhulma ya namna gani hii
Doa kubwa sana kwa mama