roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,609
- 2,751
Hata kijijini Kwa Mobutu seseseko ilikuwa hivyo hivyo !!! Wenye akili tuliona Hilo mapema !! Poleni wanachato Mungu wenu hayupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alijenga projects zisizo na mchango kwa jamii yake
Sitaki kuamini hii ndio akili yako. Serikali ianzishe miradi mipya tena zaidi ya iliyopo ambayo ilianzishwa na imeshindwa ku take off kwasababu ya idadi ndogo ya wageni? Hili ni somo kuwa tunapopata uongozi tusitawanye rasilimali za nchi bila uwiano sawa madhara yake ndio haya wewe unasema watu wataongezeka tuu unadhani hapa chato kila mwanamke azae mara ngapi kwa mwaka ili kuijaza chato?Huo mji serikali inaweza kuupangilia, kuanzisha miradi mipya kama kufubgua masoko, shule, stendi ya mabasi watu wataongezeka tu.
Lakini kulalamika Chato imelala kama ina facilities zote, huo ni uzembe wa serikali iliyolala.
They didn't believe it. Now they do.
Nasikia Zanzibar viwanja na Mahoteli bei ziko juu sana! Kutesa kwa zamu! Sijui baada ya Zanzibar zamu ya mkoa gani kuanza kuneemeka!!? Tusubiri huwezi jua labda ni Singida!!Kwa sasa biashara zimehamia zanzibar.
KWASASA HATA ARUSHA NA KILIMANJARO KUNA NEEMEKA SANA TOFAUTI NA ENZI ZA MWENDA ZAKE AMBAPO HOTEL NYINGI ZA KITALII ZILIKUFA MPAKA HOTEL KUBWA KAMA NGURDOTO IKAWA HOSTEL.Nasikia Zanzibar viwanja na Mahoteli bei ziko juu sana! Kutesa kwa zamu! Sijui baada ya Zanzibar zamu ya mkoa gani kuanza kuneemeka!!? Tusubiri huwezi jua labda ni Singida!!
Zanzibar inaongoza Kwa Utalii Tanzania hata kabla ya SamiaNasikia Zanzibar viwanja na Mahoteli bei ziko juu sana! Kutesa kwa zamu! Sijui baada ya Zanzibar zamu ya mkoa gani kuanza kuneemeka!!? Tusubiri huwezi jua labda ni Singida!!
Angelazimisha iwe Mkoa hivyo Watumishi wa ngazi ya Mkoa wangeleta uchangamfu kidogoWao wana nini cha kuwafanya watu waende? Hata JPM angekuwepo iwapo angelazimisha basi lilikuwa suala la muda tu. Biashara ni Demand and Supply.
Mikutano mikubwa na Utalii havikauki Arusha na KilimanjaroKWASASA HATA ARUSHA NA KILIMANJARO KUNA NEEMEKA SANA TOFAUTI NA ENZI ZA MWENDA ZAKE AMBAPO HOTEL NYINGI ZA KITALII ZILIKUFA MPAKA HOTEL KUBWA KAMA NGURDOTO IKAWA HOSTEL.
SASA HIVI KILA BAADA YA SIKU CHACHE LAZIMA MAMA AENDE ARUSHA KUZINDUA KITU FLANI NA BAHATI NZURI MSIMU WA UTALII NDIO UMEANZA KUFUNGUKA YANI WATALII KIBAO.
Kwanini usimfuate wewe mzoga wako kaburini mkuu?Daaah we jamaa roho inakuuma sana kunyimwa keki ya taifa
Kunywa sumu umfuate bwana wako kaburini
Ngoja na sisi tule keki ya taifa kidogo
Kumbe!Mikutano mikubwa na Utalii havikauki Arusha na Kilimanjaro
Leta takwimu zinazoonesha zanzibar wanaongoza kuliko tanganyikaZanzibar inaongoza Kwa Utalii Tanzania hata kabla ya Samia