LGE2024 Wananchi Dodoma: Tunataka kupita katika uchaguzi wa haki na huru

LGE2024 Wananchi Dodoma: Tunataka kupita katika uchaguzi wa haki na huru

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Baadhi ya wananchi wa Mkoa wa Dodoma wameviasa vyama vya siasa nchini kudumisha amani wakati wa kukamilisha michakato ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024

Pia, Soma: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma 2024

Kadhalika, wameishukuru Serikali kwa kutoa muda zaidi kwa wagombea ambao hawakuridhika kukata rufaa. Ikumbukwe jana Novemba 15 ilikuwa mwisho wa kupokea na kusikiliza rufaa za wagombea wa nafasi mbalimbali.
 
Back
Top Bottom