TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,079
- 3,367
Una miaka mingapi kijana???magenerali karibu wote kwenye jeshi la drc ni wanyarwanda kagame kapenyeza ma spy wengi sana drc na wapo kwenye sekta zote mhimu kuanzia jeshini polisi mpka usalama
wa taifa,
kwa kifupi afrika mashariki na kati hakuna nchi ya kuweza kupigana na rwanda
Huijui rwanda ila kama ungekuwa unaijua vzr usingeongea hayo
Taja hapa ma-general watatu tu ambao Ni wanyarwanda kwny jeshi la Congo.magenerali karibu wote kwenye jeshi la drc ni wanyarwanda kagame kapenyeza ma spy wengi sana drc na wapo kwenye sekta zote mhimu kuanzia jeshini polisi mpka usalama
wa taifa,
kwa kifupi afrika mashariki na kati hakuna nchi ya kuweza kupigana na rwanda
Kila kitu mnataka ushahidi? Hujiulizi kitendo cha magaidi kumiriki siraha za hatari na hawana chanzo chochote cha mapato ya kuwawezesha kununua siraha za bei kubwa ni vip wanawezaje? Jibu ni kuwa kuna wahuni wanaowasapoti ambao ndyo hao hao wanaosapoti mivurugano na machafuko ili kutimiza ajenda zao..hiv JF kumbe siku hizi ina watu wa hovyo humu wasioweza kufikiri jambo dogo kama hili? Et umejiunga lini humu?
[emoji1][emoji1] umesema KDF nikakumbuka nilivyowaona wakiiba biskuti pale kwny Ile operation pale kwny mall ya Westgate na walivyopelekwa Somalia kwny mission wakaishia kuiba mkaa tu hahah.Sijawahi kujua Vita yoyote Ile iliyopiganwa na KDF zaidi ya kuona wakikimbizana tu Al-shababUpumbavu mtupu, Jeshi la Rwanda ni takataka mbele ya JWTZ na KDF
Kambi gani hio?
[emoji1][emoji1] Sasa mkuu kwa jeshi Kama Hilo unategemea Nini?Wacongo kazi ngumu ngumu hawapendagi.
Unaota wewemagenerali karibu wote kwenye jeshi la drc ni wanyarwanda kagame kapenyeza ma spy wengi sana drc na wapo kwenye sekta zote mhimu kuanzia jeshini polisi mpka usalama
wa taifa,
kwa kifupi afrika mashariki na kati hakuna nchi ya kuweza kupigana na rwanda
Wewe Muulizeni Pk Tpdf Commando walichomfanya,hawezi Katu hata siku1 kuwa na jeuri hiyo,ana kiburi tu cha asiliHuijui rwanda ila kama ungekuwa unaijua vzr usingeongea hayo
Nani kakwambia magaidi hawana vyanzo vya mapato? Usiongee kama upo kijiweni, leta ushahidi.Kila kitu mnataka ushahidi? Hujiulizi kitendo cha magaidi kumiriki siraha za hatari na hawana chanzo chochote cha mapato ya kuwawezesha kununua siraha za bei kubwa ni vip wanawezaje? Jibu ni kuwa kuna wahuni wanaowasapoti ambao ndyo hao hao wanaosapoti mivurugano na machafuko ili kutimiza ajenda zao..hiv JF kumbe siku hizi ina watu wa hovyo humu wasioweza kufikiri jambo dogo kama hili? Et umejiunga lini humu?
ππππ Chai nzito sana hii bila kushushia kashata haishuki kabisa.Wewe Muulizeni Pk Tpdf Commando walichomfanya,hawezi Katu hata siku1 kuwa na jeuri hiyo,ana kiburi tu cha asili
Kigali kuko uchi tu,si alikuwaga anamkashifu jk,unajua mzee wa Msoga aliochomfanya??
Wanaisumbua DRC, nayo pengine sababu serikali ipo mbali sana.magenerali karibu wote kwenye jeshi la drc ni wanyarwanda kagame kapenyeza ma spy wengi sana drc na wapo kwenye sekta zote mhimu kuanzia jeshini polisi mpka usalama
wa taifa,
kwa kifupi afrika mashariki na kati hakuna nchi ya kuweza kupigana na rwanda
Lete maneno mkuu..Mzee wetu wa msonga alimfanya nini huyu PK?Wewe Muulizeni Pk Tpdf Commando walichomfanya,hawezi Katu hata siku1 kuwa na jeuri hiyo,ana kiburi tu cha asili
Kigali kuko uchi tu,si alikuwaga anamkashifu jk,unajua mzee wa Msoga aliochomfanya??
Hahaa[emoji1][emoji1] Sasa mkuu kwa jeshi Kama Hilo unategemea Nini?Wacongo kazi ngumu ngumu hawapendagi.View attachment 2247856
Huyu anasapoti m23 yule anasapoti fdlrStupid Congolese ukabila utawamaliza wote, M23 sio kikundi cha wahuni tuu wanaotaka madaraka kama watu wengi wanavyofikiria, ni banyamulenge na wana asili ya watusi na wanaishi Eastern Congo, Congolese wanataka kuwafanyia genocide kama wale wa Rwanda na mgogoro wote unaanzia hapo, wapo hapo kwa zaidi ya miaka 300 lakini wanaambiwa ni wahamiaji, hata mimi nisingekubali na jamaa wapo vizuri maana ndio wamekamata business zote mashariki ya Congo wana pesa na vita wanaijua