Wananchi Kiteto Wamuomba Mbunge Ole Lekaita Shule ya Sekondari, Umeme na Barabara

Wananchi Kiteto Wamuomba Mbunge Ole Lekaita Shule ya Sekondari, Umeme na Barabara

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe. Edward Ole Lekaita amemkabidhi Mwanafunzi mwenye ulemavu wa miguu Kitimwendo alipotembelea Shule mpya ya Msingi Nguzosita iliyojengwa kwa gharama ya zaidi ya Shilingi Milioni 500.

Aidha, Mhe. Edward Ole Lekaita amechangia mifuko ya Saruji 100 kwaajili ya Ujenzi wa Zahanati katika Kijiji cha Logoet ikiwa ni kutia moyo nguvu za wananchi waliojitolea kujenga Zahanati.

Mhe. Edward Ole Lekaita amepokelewa kwa kishindo na mamia ya wananchi alipotembelea Kijiji cha Enguserosidan kilichopo Kata ya Laiseri alipokuwa akikagua miradi mbalimbali na kusikiliza kero za wananchi

Wakizungumza na Mbunge Edward Ole Lekaita, Wananchi wa Kijiji cha Enguserosidan wamemuomba Mbunge Ole Lekaita Shule ya Sekondari, Umeme na Barabara.

WhatsApp Image 2024-11-12 at 01.15.03.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-12 at 01.15.04.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-12 at 01.15.04 (1).jpeg
WhatsApp Image 2024-11-12 at 01.15.05.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-12 at 01.15.06.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-12 at 01.15.07.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-12 at 01.15.09.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-12 at 01.15.10.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-12 at 01.15.12.jpeg
 
Back
Top Bottom