ryan riz
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 423
- 683
Kichwa cha habari chajitosheleza
Yaani uwe mshtaki au mshtakiwa bila fedha husikilizwi wala kusaidiwa. Tena ukiwaambia unajua haki zako ndio kabsaa.
Umewatibua, watakutenga na hawatajali malalamiko yako. Huu ni ndio ukweli halisi nendankwenye vituo vyao kazi ukajionee, mara lete elfu arobaini tukamkamate, mara ooh una 30 hapo ili tuweke mambo vizuri yaani pesa pes pesa ndio ushughulikiwe suala lako.
Yaani uwe mshtaki au mshtakiwa bila fedha husikilizwi wala kusaidiwa. Tena ukiwaambia unajua haki zako ndio kabsaa.
Umewatibua, watakutenga na hawatajali malalamiko yako. Huu ni ndio ukweli halisi nendankwenye vituo vyao kazi ukajionee, mara lete elfu arobaini tukamkamate, mara ooh una 30 hapo ili tuweke mambo vizuri yaani pesa pes pesa ndio ushughulikiwe suala lako.