Habari JF,
Binafsi sitachoka kuinyooshea kidole CCM kwa matatizo na maendeleo duni ya Taifa hili mbali na Tanzania kujaliwa maliasili nyingi sana.
CCM imetuaminisha kwamba hatuwezi fanya maendeleo bila Misaada ,mikopo na kujipendekeza nje ya Nchi.
CCM imefanya wananchi masikini kiasi kwamba muda mwingi wanapambana kutafuta kula yao na afya zao hawana hata muda wa kufuatilia nini kinaendelea katika nchi yao.
CCM imefanya Tanzania badala ya kuwa Muuzaji mkuu wa Nguo, sukari, gesi, Chuma, vito vya dhahabu, makaa ya mawe, samaki ...nk na dampo la bidhaa toka nje.
CCM imefanya wananchi waamini wao hawawezi kufanya kitu ni lazima kusaidiwa na mataifa ya nje.
CCM imefanya wananchi /viongozi wasiwe wazalendo bali wawe ni watu wa kuangalia maslahi yao na kufurahishana tu bila kujali maslahi ya nchi.
Mimi RNA sitoipigia kura CCM 2025 tuungane kuitoa madarakani na hata kama ikifa sitokuja isahau, na hata ntakufa kabla haijatoka madarakani ifahamike sijawahi isapoti iendelee kuwepo madarakani.
Binafsi sitachoka kuinyooshea kidole CCM kwa matatizo na maendeleo duni ya Taifa hili mbali na Tanzania kujaliwa maliasili nyingi sana.
CCM imetuaminisha kwamba hatuwezi fanya maendeleo bila Misaada ,mikopo na kujipendekeza nje ya Nchi.
CCM imefanya wananchi masikini kiasi kwamba muda mwingi wanapambana kutafuta kula yao na afya zao hawana hata muda wa kufuatilia nini kinaendelea katika nchi yao.
CCM imefanya Tanzania badala ya kuwa Muuzaji mkuu wa Nguo, sukari, gesi, Chuma, vito vya dhahabu, makaa ya mawe, samaki ...nk na dampo la bidhaa toka nje.
CCM imefanya wananchi waamini wao hawawezi kufanya kitu ni lazima kusaidiwa na mataifa ya nje.
CCM imefanya wananchi /viongozi wasiwe wazalendo bali wawe ni watu wa kuangalia maslahi yao na kufurahishana tu bila kujali maslahi ya nchi.
Mimi RNA sitoipigia kura CCM 2025 tuungane kuitoa madarakani na hata kama ikifa sitokuja isahau, na hata ntakufa kabla haijatoka madarakani ifahamike sijawahi isapoti iendelee kuwepo madarakani.