Wananchi masikini ndani ya Nchi tajiri. Hata kama CCM itakufa sitokuja isahau

Wananchi masikini ndani ya Nchi tajiri. Hata kama CCM itakufa sitokuja isahau

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari JF,

Binafsi sitachoka kuinyooshea kidole CCM kwa matatizo na maendeleo duni ya Taifa hili mbali na Tanzania kujaliwa maliasili nyingi sana.

CCM imetuaminisha kwamba hatuwezi fanya maendeleo bila Misaada ,mikopo na kujipendekeza nje ya Nchi.

CCM imefanya wananchi masikini kiasi kwamba muda mwingi wanapambana kutafuta kula yao na afya zao hawana hata muda wa kufuatilia nini kinaendelea katika nchi yao.

CCM imefanya Tanzania badala ya kuwa Muuzaji mkuu wa Nguo, sukari, gesi, Chuma, vito vya dhahabu, makaa ya mawe, samaki ...nk na dampo la bidhaa toka nje.

CCM imefanya wananchi waamini wao hawawezi kufanya kitu ni lazima kusaidiwa na mataifa ya nje.

CCM imefanya wananchi /viongozi wasiwe wazalendo bali wawe ni watu wa kuangalia maslahi yao na kufurahishana tu bila kujali maslahi ya nchi.

Mimi RNA sitoipigia kura CCM 2025 tuungane kuitoa madarakani na hata kama ikifa sitokuja isahau, na hata ntakufa kabla haijatoka madarakani ifahamike sijawahi isapoti iendelee kuwepo madarakani.
 
CCM imefanya wananchi /viongozi wasiwe wazalendo bali wawe ni watu wa kuangalia maslahi yao na kufurahishana tu bila kujali maslahi ya nchi.
Nasisima na RNA!! Haiwezekan mtu aache kupiga dili au ubadhirifu na ufisadi wakati viongoz wanapiga B za kutosha na ni marufuku kuwachukulia hatua!!
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Sa
Habari JF,

Binafsi sitachoka kuinyooshea kidole CCM kwa matatizo na maendeleo duni ya Taifa hili mbali na Tanzania kujaliwa maliasili nyingi sana.

CCM imetuaminisha kwamba hatuwezi fanya maendeleo bila Misaada ,mikopo na kujipendekeza nje ya Nchi.

CCM imefanya wananchi masikini kiasi kwamba muda mwingi wanapambana kutafuta kula yao na afya zao hawana hata muda wa kufuatilia nini kinaendelea katika nchi yao.

CCM imefanya Tanzania badala ya kuwa Muuzaji mkuu wa Nguo, sukari, gesi, Chuma, vito vya dhahabu, makaa ya mawe, samaki ...nk na dampo la bidhaa toka nje.

CCM imefanya wananchi waamini wao hawawezi kufanya kitu ni lazima kusaidiwa na mataifa ya nje.

CCM imefanya wananchi /viongozi wasiwe wazalendo bali wawe ni watu wa kuangalia maslahi yao na kufurahishana tu bila kujali maslahi ya nchi.

Mimi RNA sitoipigia kura CCM 2025 tuungane kuitoa madarakani na hata kama ikifa sitokuja isahau, na hata ntakufa kabla haijatoka madarakani ifahamike sijawahi isapoti iendelee kuwepo madarakani.
Sawa kabisa!
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Ni rahisi sana maskini kushawishiwa Kwa tende na haruwa..khanga,kofia,Pombe,fedha,mlo,..starehe/anasa..

Nchi yetu ni tajiri sana
 
Habari JF,

Binafsi sitachoka kuinyooshea kidole CCM kwa matatizo na maendeleo duni ya Taifa hili mbali na Tanzania kujaliwa maliasili nyingi sana.

CCM imetuaminisha kwamba hatuwezi fanya maendeleo bila Misaada ,mikopo na kujipendekeza nje ya Nchi.

CCM imefanya wananchi masikini kiasi kwamba muda mwingi wanapambana kutafuta kula yao na afya zao hawana hata muda wa kufuatilia nini kinaendelea katika nchi yao.

CCM imefanya Tanzania badala ya kuwa Muuzaji mkuu wa Nguo, sukari, gesi, Chuma, vito vya dhahabu, makaa ya mawe, samaki ...nk na dampo la bidhaa toka nje.

CCM imefanya wananchi waamini wao hawawezi kufanya kitu ni lazima kusaidiwa na mataifa ya nje.

CCM imefanya wananchi /viongozi wasiwe wazalendo bali wawe ni watu wa kuangalia maslahi yao na kufurahishana tu bila kujali maslahi ya nchi.

Mimi RNA sitoipigia kura CCM 2025 tuungane kuitoa madarakani na hata kama ikifa sitokuja isahau, na hata ntakufa kabla haijatoka madarakani ifahamike sijawahi isapoti iendelee kuwepo madarakani.
Ulitaka wachague chama gani kinachowapa utajiri?
 
Back
Top Bottom