- Thread starter
- #21
Chochote kingine akiwepo lissuUlitaka wachague chama gani kinachowapa utajiri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chochote kingine akiwepo lissuUlitaka wachague chama gani kinachowapa utajiri?
Sio watanzania wote ni wajinga kama weweWatanzania sio wajinga kama unavyotaka wawe
Sio watanzania wote ni wajinga kama wewe
Choice Variable nikuambie kitu?Chochote kingine akiwepo lissu
Ife kwanza tuone maisha watanzania yatakuwajeHata ccm ikifa still matatizo yapo pale pale
Acha upimbiHata ccm ikifa still matatizo yapo pale pale
Sisi Sio wa kwanza chama tawala kufa afrikaAcha upimbi
Tatizo tumejengwa katika Uwoga, Upendo wa kinafki na chuki zetu nddizo zinatumaliza na haya yote yanaanzia kwenye elimu tunayopewaUnailaumu ccm lakini naona wenye shida ni sisi wananchi kwa sababu tungekuwa na akili timam ccm ingekuwa jumba la makumbusho siku nyingi
🤣🤣🤣🤣Choice Variable nikuambie kitu?
Nimefuatilia kwa undani nimekuta Bandari za Tanganyika hazijauzwa wala kukodishwa kwa waarabu wa Dubai bali zote wamepewa bure!
Tuelewana tu 2025 ni TL
CCM imesababisha kuwe na CHAWA wengi sana, watu wanajitoa UFAHAMU kwaajili ya kupambania matumbo yao. AJABU SANAHabari JF,
Binafsi sitachoka kuinyooshea kidole CCM kwa matatizo na maendeleo duni ya Taifa hili mbali na Tanzania kujaliwa maliasili nyingi sana.
CCM imetuaminisha kwamba hatuwezi fanya maendeleo bila Misaada ,mikopo na kujipendekeza nje ya Nchi.
CCM imefanya wananchi masikini kiasi kwamba muda mwingi wanapambana kutafuta kula yao na afya zao hawana hata muda wa kufuatilia nini kinaendelea katika nchi yao.
CCM imefanya Tanzania badala ya kuwa Muuzaji mkuu wa Nguo, sukari, gesi, Chuma, vito vya dhahabu, makaa ya mawe, samaki ...nk na dampo la bidhaa toka nje.
CCM imefanya wananchi waamini wao hawawezi kufanya kitu ni lazima kusaidiwa na mataifa ya nje.
CCM imefanya wananchi /viongozi wasiwe wazalendo bali wawe ni watu wa kuangalia maslahi yao na kufurahishana tu bila kujali maslahi ya nchi.
Mimi RNA sitoipigia kura CCM 2025 tuungane kuitoa madarakani na hata kama ikifa sitokuja isahau, na hata ntakufa kabla haijatoka madarakani ifahamike sijawahi isapoti iendelee kuwepo madarakani.
Dolla 1 = 2,500CCM imesababisha kuwe na CHAWA wengi sana, watu wanajitoa UFAHAMU kwaajili ya kupambania matumbo yao. AJABU SANA
Hata ccm ikifa still matatizo yapo pale pale