Wananchi masikini ndani ya Nchi tajiri. Hata kama CCM itakufa sitokuja isahau

Chochote kingine akiwepo lissu
Choice Variable nikuambie kitu?
Nimefuatilia kwa undani nimekuta Bandari za Tanganyika hazijauzwa wala kukodishwa kwa waarabu wa Dubai bali zote wamepewa bure!
 

Attachments

  • 72AFCDC4-6DFB-4321-A7BE-8CC6E007BC3E.jpeg
    115 KB · Views: 1
Unailaumu ccm lakini naona wenye shida ni sisi wananchi kwa sababu tungekuwa na akili timam ccm ingekuwa jumba la makumbusho siku nyingi
 
Unailaumu ccm lakini naona wenye shida ni sisi wananchi kwa sababu tungekuwa na akili timam ccm ingekuwa jumba la makumbusho siku nyingi
Tatizo tumejengwa katika Uwoga, Upendo wa kinafki na chuki zetu nddizo zinatumaliza na haya yote yanaanzia kwenye elimu tunayopewa
 
Choice Variable nikuambie kitu?
Nimefuatilia kwa undani nimekuta Bandari za Tanganyika hazijauzwa wala kukodishwa kwa waarabu wa Dubai bali zote wamepewa bure!
🤣🤣🤣🤣
 
Njoo pande hizi za kiroho,

Nnji hii Ina mfumo wa Vyama vingi ktk Ulimwengu wa mwili,

Bt katika Ulimwengu wa Roho, Nchi hii Ina mfumo BADO wa chama kimoja.

Kufa Kwa CCM Si jambo dogo kama tunavyodhani,

Kifo Cha CCM lazima kisababishe mengine mengi Kutokea.

Kufa na ife,

Bt kifo chema, Cha Utaratibu na mrithi apatikane mchana kweupe jua la utosini.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
 
CCM imesababisha kuwe na CHAWA wengi sana, watu wanajitoa UFAHAMU kwaajili ya kupambania matumbo yao. AJABU SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…