Wananchi Mwanza wadaiwa kuzuia watu waliovalia kiraia kuondoka na watuhumiwa, waita Mkuu wa Kituo Pamba kuja kuwatambua

Safi sana, kazi iendelee, hii iwe hata kwa wanaovaa sare kwa maana tumesha kuwashudia mapolisi feki

Ukikamatwa na mtu asiye na uniform za polisi kama wako na gari likamatwe na wahojiwe kwanza. Na wawe na barua ya RPC wa mkoa husika
Hata wenye sare mpaka kuwe na polisi kata kwasasa Tanzania kuna polisi kata ambaye hujulikana hata na mwenyekiti wa mtaa na baadhi ya wana jamii
 
Tena wangewapiga kiberiti kabisa iwe funzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…