Wananchi Simiyu wawajengea walimu nyumba za matope

Wananchi Simiyu wawajengea walimu nyumba za matope

View attachment 2712893
HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.

Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.

"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi
Aibu sana kwa serikali ya ccm
 
Kua mwalimu kumbe ni umaskini basi marafiki zangu walioajiriwa mwaka jana na sasa hv wameanza kumiliki viwanja na ujenzi ..wote hao ni maskini
Inategemea anajenga sehem gani kuna sehem bongo hapa kiwanja laki moja au mbili na ujenzi unajengea tofali ka izo so hata mkulima anajenga sema anajengea wapi na kwa mwalim kuajiriwa mwaka uliopita kuwa na kiwanja labda mkopo iyo kwa mfanya kazi wwte hawez kufanya ivo hata dr hawez
 
View attachment 2712893
HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.

Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.

"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi
CCM ndio chanzo cha ufukara huu.
 
Duh! Huyu mother Nchi imemshinda kabisa.rasilimali zote tulizonazo ameshindwa kuzisimamia hadi watumishi kudhalilishwa kwa kujengewa nyumba za hovyo namna hiyo?bora ajiuzulu tu ili kulinda heshima.
Kwani hiyo shule imejengwa kipindi cha mama?
Magufuli ndiye mshenzi nambari 1, yeye ndo kaiharibu nchi
 
Kwa kauli hii Unaweza ukahisi wale wote wasiokuwa walimu nchi hii ni matajiri.
Hivi hizi akili za kijinga huwa mnatoa wapi ?
Kazungumzua mtu kuchagua kua mwalimu kwasababu sio lazima watu wote wawe walimu.Lakini pia iko wazi kua kada ya ualimu ndio kada isiyothaminika hapa nchini.ndo maana watumishi waliokimbia ualimu nakukimbilia kada zingine na kwenye siasa wengi zaid wametoka kwenye ualimu.
 
View attachment 2712893
HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.

Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.

"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi
Mama anaupiga mwingi utasikia chawa akisifia huku amekalia kitu kigumu
 
View attachment 2712893
HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.

Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.

"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi
Adui NAMBA MOJA wa nchi hii na wananchi ni CCM, kwa bahati mbaya itachukua muda mrefu dhana hii kufahamika kwa wananchi wengi hasa wa maeneo ya vijijini huko
 
Back
Top Bottom