Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu sana kwa serikali ya ccmView attachment 2712893
HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.
Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.
"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi
Inategemea anajenga sehem gani kuna sehem bongo hapa kiwanja laki moja au mbili na ujenzi unajengea tofali ka izo so hata mkulima anajenga sema anajengea wapi na kwa mwalim kuajiriwa mwaka uliopita kuwa na kiwanja labda mkopo iyo kwa mfanya kazi wwte hawez kufanya ivo hata dr hawezKua mwalimu kumbe ni umaskini basi marafiki zangu walioajiriwa mwaka jana na sasa hv wameanza kumiliki viwanja na ujenzi ..wote hao ni maskini
Kiukweli hapana labd kuwe amna option nyingine.Wewe unaweza ukaishi nyumba kama hiyo hapo juu
CCM ndio chanzo cha ufukara huu.View attachment 2712893
HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.
Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.
"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi
Hata ujiongeze vipi Kwa ualimu hutoboiKazi ya ualimu inahitaji mtu kujiongeza. Kinyume na hapo, lazima utadhalilika tu mtaani.
Manina, mwalimu yupi huyoAcheni ufara mbona waalim wanaishi maisha mazuri
Kwani hiyo shule imejengwa kipindi cha mama?Duh! Huyu mother Nchi imemshinda kabisa.rasilimali zote tulizonazo ameshindwa kuzisimamia hadi watumishi kudhalilishwa kwa kujengewa nyumba za hovyo namna hiyo?bora ajiuzulu tu ili kulinda heshima.
Kazungumzua mtu kuchagua kua mwalimu kwasababu sio lazima watu wote wawe walimu.Lakini pia iko wazi kua kada ya ualimu ndio kada isiyothaminika hapa nchini.ndo maana watumishi waliokimbia ualimu nakukimbilia kada zingine na kwenye siasa wengi zaid wametoka kwenye ualimu.Kwa kauli hii Unaweza ukahisi wale wote wasiokuwa walimu nchi hii ni matajiri.
Hivi hizi akili za kijinga huwa mnatoa wapi ?
Hawana V8 lakini hawadharauliki kwakiwango chakutweza utu wao kama walimu.Walimu sio kwamba hawana tu maisha mazuri bali ata thaman yao mbele ya jamii na waajiri wao ni ndogo.Kwa logic yako watumishi wengine woote wanatembelea V8. Huu ujinga huwa mnafundishwa wapi ?
Mama anaupiga mwingi utasikia chawa akisifia huku amekalia kitu kigumuView attachment 2712893
HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.
Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.
"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi
Utasikia watakao kaidi kuhamia humo watakoona cha motoHABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.
Adui NAMBA MOJA wa nchi hii na wananchi ni CCM, kwa bahati mbaya itachukua muda mrefu dhana hii kufahamika kwa wananchi wengi hasa wa maeneo ya vijijini hukoView attachment 2712893
HABARI Wananchi wa Kitongoji cha Ihula kilichopo Kata ya Gibishi Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wameamua kujenga nyumba za tope ili kuwawezesha Walimu kuishi jirani na shule.
Wananchi hao wamesema walimu wakiwa karibu na mazingira ya shule wanao uhakikia wa kuwahi hususani vipindi vya asubuhi hivyo kuwawezesha watoto wao kuanza kufundishwa mapema.
"Tumeamua tujenge nyumba ili watoto wetu wapate huduma ya kufundishwa, hatuna nguvu ya kuwajengea nyumba ya block ndio maana tukaamua tujenge nyumba ya tope ili wasogee huku," amesema Loli Machama ambaye ni mwananchi
Mtazamo wako ni subjective, wala sio fact.Hawana V8 lakini hawadharauliki kwakiwango chakutweza utu wao kama walimu.Walimu sio kwamba hawana tu maisha mazuri bali ata thaman yao mbele ya jamii na waajiri wao ni ndogo.
PumbavuMtazamo wako ni subjective, wala sio fact.
Ndio ujue uticha kibongo bongo ni kupoteza mudaKiukweli hapana labd kuwe amna option nyingine.
HhhahahaNdio ujue uticha kibongo bongo ni kupoteza muda
Wasingekuwa na akili,wewe ungejua kusoma na kuandika?.Uchaguz ukikaribia wanatumika
Ova