Wananchi Tabata Kisukuru kero yetu kubwa ni kukosa gari la kuzoa taka na uhaba wa maji

Wananchi Tabata Kisukuru kero yetu kubwa ni kukosa gari la kuzoa taka na uhaba wa maji

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Gari taka.jpg

Mimi kero yangu au naweza kusema kero ya watu wengi huku mtaani kwetu Tabata Kisukuru ni kuwa gari la Taka halijaonekana muda mrefu na taka zimejaa kwenye nyumba nyingi mpaka zinanuka na kutengeneza wadudu.

Kero nyingine ni kuwa maji ni ya shida sana yaani tunataabika kwelikweli, tupazieni sauti sisi Wananchi wa Kisukuru.
 
Vipi miundo mbinu imekaaje huko

Ova
 
Back
Top Bottom