Wananchi tuna haki kufahamu alipo Makamu wa Rais Philip Mpango

Hivi kama kiongozi mkubwa namna hii anawapambe kibao anatoweka na asijulikaline hakika alipo nawaza hawa akina kapuku wakitekwa si ndo basi.

Ni huzuni sana kuwa na serikali isiyozingatia umuhimu wa taarifa. Je, haya yaweza kuwa ni majaribio tu kwa matukio mengine makubwa?

Tuupe muda wakati,
 
Mimi nadhani labda VP yupo likizo ya mwisho wa mwaka...Ila sijui Kama yupo likizo..lazima aonekane hadharani??!!!!!! Mnataka aende sokoni Magomeni au kariakoo??
 
"Brain respiratory center shut down" Anaandika de'levis,kwamba hiyo center Huwa Ina shutdown pole pole hadi mshindo mkuu unakua kwenye oxygen machine!!

Nimekumbuka hii kitu leo!!iliwahi kuandikwa zamani humu jamvini!!
 
kivipi.


Then wanaotuongoza siyo binadamu wenzetu.
Ni kuzua taharuki na kumfanya mgonjwa (kiongozi) wetu katika hali anayopitia, kwa mwenendo wa kiusalama pia unajua taasisi ni watu na sio mtu , muda ukifika taarifa zitatolewa, ni kanuni tu na sheria zilizowekwa kikatiba
 
Ni kuzua taharuki na kumfanya mgonjwa (kiongozi) wetu katika hali anayopitia, kwa mwenendo wa kiusalama pia unajua taasisi ni watu na sio mtu , muda ukifika taarifa zitatolewa, ni kanuni tu na sheria zilizowekwa kikatiba
Katiba na sheria mnazozitunga nyie bila utashi wa raia ni batili na laanifu.

hauna hoja kiufupi
 
mkuu karibu sana sana kwetu. just panda gari la mwendokasi, ukishuka tu ulizia kwa Msanii, unafikishwa chap kwa haraka😅😅😅😅 (kidding)

ngoja niangalie Google hapa nijue nipo wapi kisha fungua inbobo
😂😂
 
inakusaidia nini?
 
Ni kuzua taharuki na kumfanya mgonjwa (kiongozi) wetu katika hali anayopitia, kwa mwenendo wa kiusalama pia unajua taasisi ni watu na sio mtu , muda ukifika taarifa zitatolewa, ni kanuni tu na sheria zilizowekwa kikatiba
Taharuki gani itazuka? VP ni binadamu kama wengine. Punguza uchawa kama huwezi kuacha kabisa mkuu. VP akifa atazikwa, atateuliwa mwingine maisha yataendelea. Amekufa Magufuli sembuse VP.

Usiwajengee watanzania taharuki isiyokuwepo kwa sababu zako binafsi za kulinda na kutetea uchawa wako. Kuwa na nidhamu na wapiga kura. Watanzania wanataka kufahamu maendeleo ya kiongozi wao.

Baba wa Taifa, mwalimu Nyerere, allipougua leukemia taifa lilikuwa linajulishwa hali yake kila siku. Itakuwa Mpango? Tatizo la Mpango linatibika kwa kuwa amewahi matibabu ijapokuwa, kwa sababu ya umri mkubwa, hawezi kurejea kawaida 100%.

Machawa muache kututia hofu. Tunataka kujua kiongozi wetu anaendeleaje. Afu haya mambo ya kuficha ugonjwa yameanzia kwenye ugonjwa (Covid 19) wa Magufuli. Mbona ujinga huu haujawahi kuwepo kwenye nchi hii hapo kabla? Ni nani aliyenazisha huu mtindo wa kipuuzzi wa kuwaficha wananchi ugonjwa wa viongozi wao? Inauma na inasikitisha sana😳😳
 
Mimi nadhani labda VP yupo likizo ya mwisho wa mwaka...Ila sijui Kama yupo likizo..lazima aonekane hadharani??!!!!!! Mnataka aende sokoni Magomeni au kariakoo??

Anatumia fedha za nani huko? Magu alishasema kuna watu wasioenda kwao kbs wanabaki wazunguka nchi za watu. [emoji3]
 
Likitokea la kutokea kwa makamu wa rais samia lazima awajibike maana ndio mchawi. Wananchi hawatakua tena na shaka.
 
Mmmmhhh.... sasa mbona kazi
Maana naona Kigogo hili suala kalivalia njuga kweli kweli..

Naomba Mungu isiwe kweli jmn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…