Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
Hakuna kitu kama hicho.Mimi nadhani labda VP yupo likizo ya mwisho wa mwaka...Ila sijui Kama yupo likizo..lazima aonekane hadharani??!!!!!! Mnataka aende sokoni Magomeni au kariakoo??
Sijamuona jukwaani kitambo huyo mwamba."Brain respiratory center shut down" Anaandika de'levis,kwamba hiyo center Huwa Ina shutdown pole pole hadi mshindo mkuu unakua kwenye oxygen machine!!
Nimekumbuka hii kitu leo!!iliwahi kuandikwa zamani humu jamvini!!
Umeongea kwa uchungu sana pole sana,Inasaidia wapigakura kufahamu kiongozi wao anaendeleaje. Mbona maendeleo ya Nyerere tulikuwa tunajulishwa kila siku? Acha ujinga wa kuficha ugonjwa; kifo kitakuja kuwaumbua, chawa wakubwa!
I also wish isiwe kweli,ila kwa ukimya huu,something is wrong.Aisee hii mbaya kweli naomba isiwe kweli
Je, wewe binafsi unamuamini mtu huyu????Waziri Mkuu ashasema yupo ngambo kikazi kipi kina ku washa washa?
Acha tuone though mzee ni innocent kwakweliI also wish isiwe kweli,ila kwa ukimya huu,something is wrong.
Oya, tunaskilizia stori kule mzee babaSerikali ina utaratibu wake wa kufanya mambo yake, nadhani hata ukienda ikulu uatajibiwa hivyo.
Na kama wamemuondoa, innocence yake ndiyo imemuondoa.Hawa watu ni waovu mno,kwa hiyo mtu mwema ni kama hukumu kwao.Acha tuone though mzee ni innocent kwakweli
Hhahaaa nitashusha episode moja jioni. Ila utopolo akipigwa na medeama leo nitatshusha tatuOya, tunaskilizia stori kule mzee baba
Kwahiyo tunaopenda stori tuelekeze dua zetu GhanaHhahaaa nitashusha episode moja jioni. Ila utopolo akipigwa na medeama leo nitatshusha tatu
Exactly, episodes zitashuka kwa idadi ya magoli atakayopigwa uto leo hahhaaKwahiyo tunaopenda stori tuelekeze dua zetu Ghana
Unaelewa maana ya Yezebeli kweli?...au!..Bora afe yule Yezebeli kuliko Mpango
Lete Maneno.....Unaelewa maana ya Yezebeli kweli?...au!..
Tusaidie maana...!Lete Maneno.....
Sawa SawaTusaidie maana...!
Kuna nini chief mbona umekazana kufufua nyuzi za zinazomuhusu mh mpango?Lete Maneno......
Una upumbavu Mwingi sanaLete Maneno......