Timu lako lipo mashindano ya akina mamaSio kweli
Afu acheni excuses za kishamba
Kuna mechi ilichezwa jumamosi na muitikio wa mashabiki ulikuwa mdogo.
Tulipowauliza mkatuambia sababu ni jumamosi mashabiki wengi ni wasabato.
Kwa hiyo tunawajua...hakuna siku iliyowahi kutokea ambayo mashabiki hawakuja kwa wingi uwanjani halafu ikakosekana sababu
Unajichanganya.Nilikuwa nafuatilia mahojiano waliyofanya waandishi wa habari na mashabiki waliohudhuria kwenye supu.
Kuna watu walitoka Mvuti kuifata supu jangwani.
Mvuti ile ni Morogoro A
Nikafikiria nikajisemea...Musa angewapata watu wa aina hii basi safari yake isingechukua miaka 40 kufika kanaani.
kesho umsubiri mnyamaSiku ya kazi kupata mashabiki ngumu sana
Mnajulikana.Mpaka mpikiwe supu.Bado uwanja Mtupu au mpaka hadi tusemwe ndio tununue tiketi,tulichozoea ni kunywa supu ila Azam na Tabora wamekatia ham ya supu. ππ Tukutane kesho uwanjani mashabiki wa Yanga Sc π
Hii akiona Scars atapata msongo wa mawazoView attachment 3161887utadhani nyie mna takwimu za maanaπ€£ππ
Tena hio ni baada ya hiiHii akiona Scars atapata msongo wa mawazo
Mmesahau supu inawaboost kinyama mtani..yani kwny supu hata watani zenu wasiokuwa na ratiba ya chai wanakuja wanajaza nyomi mnajua ni Yanga hahhah π π πSupu muhimu sana
Sasa Simba ameanza lini hamasa za kununua tiketi?Hii akiona Scars atapata msongo wa mawazo
Hello,Hili ndilo jibu, weekday. Anayesema hatuna mashabiki. Mara ya mwisho tumekutana na madunduka, Yanga tulijaa, ilibidi wakae hadi upande wa hao madomo kaya.
Kuna mashabiki wa mikoani, kwa siku ya kazi, kwao inawakuwa ngumu. Atakayeelewa ataelewa. Atakayejifanya bichwa lake gumu kuelewa tumuangalie tu kama nyanya mbichi.
#yangabingwa
#since1935
Hujapitia comments sumbai za hao wanaokesha na timu si yao. Wametutukana, tena zaidi Wanawake wa Yanga. Soma utakuja kuona nilichoandika ni cha kawaida.Hello,
Mwananchi mbona umetumia lugha Kali saana??
Kimsingi ukiacha swala la siku ya Kazi, hamasa Kwa yanga ni kubwa ila mwitikio ni mdogo kutokana na mwenendo WA timu ndani na nje ya uwanja.
Nawatakia kila la kheriππ
Nimepitia. Poleni...Hujapitia comments sumbai za hao wanaokesha na timu si yao. Wametutukana, tena zaidi Wanawake wa Yanga. Soma utakuja kuona nilichoandika ni cha kawaida.
Tunashukuru na ikawe kheri π
HahahaHalafu sasa mkasema muanze kuchambua hizo kazi zenyewe ambazo kila mtu anasema yupo kazini
Utaona asilimia 90 ni betting