Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Mbaya zaidi msemaji wa yanga, anapoiamsha Simba bila kujua anachofanya.
.Katika kampeni ya kuhamasisha mashabiki wao wapendane, kila mtoto na kuongea ansitaja Simba.
.Mfano mechi iko moja tu, ya tarehe 26, tarehe 27 ni siku ya uchaguxi twende tukapige kura.
.Akiongea mashabiki wa Simba wanakumbushwa siku ya mechi ya siku ya mapunziko hakuna kazi, hivyo hukata shauri na kununua kununua tiketi.
HIzi unapoziponda ukidhani unawakatidha tamaa, kupende ndiyo unawahamasisha kuipenda timu yao zaidi.
.Katika kampeni ya kuhamasisha mashabiki wao wapendane, kila mtoto na kuongea ansitaja Simba.
.Mfano mechi iko moja tu, ya tarehe 26, tarehe 27 ni siku ya uchaguxi twende tukapige kura.
.Akiongea mashabiki wa Simba wanakumbushwa siku ya mechi ya siku ya mapunziko hakuna kazi, hivyo hukata shauri na kununua kununua tiketi.
HIzi unapoziponda ukidhani unawakatidha tamaa, kupende ndiyo unawahamasisha kuipenda timu yao zaidi.