Wananchi wa Kaliua - Kazaroho Wala Kiapo cha Kumlinda Rais Samia Mbele ya DC ChuaChua

Wananchi wa Kaliua - Kazaroho Wala Kiapo cha Kumlinda Rais Samia Mbele ya DC ChuaChua

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

Wananchi wa Kaliua - Kazaroho Wala Kiapo cha Kumlinda Rais Samia Mbele ya DC ChuaChua

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua Mhe. Dkt. Rashid ChuaChua amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepeleka Shilingi Milioni 446 kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa Maji wa Kazaroho

Aidha, DC Chuachua amesema Rais Samia amepeleka fedha za kutosha Kazaroho kwenye Shule za Sekondari, Shule mbili za Msingi kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa, Mabweni, na Vyoo katika Wilaya ya Kaliua.

"Ndugu zangu Msione vyaelea, vimeundwa na aliyeunda ni Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akishirikiana na Aloyce Andrew Kwezi (Mbunge wa Kaliua) pamoja na diwani mzee Haron" - DC Kaliua, ChuaChua

DC ChuaChua amekwenda kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda S. Burian kuzindua mradi wa Maji uliopo Kazaroho

"Kama kuna jambo ambalo mmelifanya ni kumfanya Aloyce Andrew Kwezi kuwa Mbunge wenu (Kaliua). Mmempata Mbunge ambaye kila anaposimama Bungeni anaeleza mambo mazito kwa ajili ya maslahi ya watu wa Kaliua. Mbunge huyu ni tunu mliyopewa na Mwenyezi Mungu, hampaswi kuipoteza" - DC Kaliua, ChuaChua

"Kama kuna mtu analifiziafizia hili Jimbo mwambieni atasubiri sana. Mmepata Mbunge (Aloyce Andrew Kwezi) anayefanya kazi kubwa kwa ajili ya maendeleo ya watu wa Kaliua. Lazima mumshikilie, mumlinde na kumtunza. Acha afanye kazi kwa ajili ya kutimiza malengo yetu (Kaliua) wana Kaliua" - DC Mhe. ChuaChua
WhatsApp Image 2023-05-06 at 19.14.52.jpeg
WhatsApp Image 2023-05-06 at 19.08.52.jpeg
 
Itakuwa ni ugoro wa tumbaku umewazidi [emoji23].utani tu watani zangu
 
Hata wale wachawi 400 na manabii 300 walifanya hivyo kwa mwanakwenda
 
Kwani kulindana si ndio na itikadi ya CCM. 😳
 
Kati ya mradi Bomu kuwahi tokea kaliua ni huu wa maji Kazaroho ndiyo maana mwenge wa uhuru wanezuia usipite kuufungua maana ungeenda na watu.umefunguliwa kimya kimya. Usalama wa taifa hili ni lenu fukueni mtanishukuru ingawa na nyie mtawaonea haya
 

Wananchi wa Kaliua - Kazaroho Wala Kiapo cha Kumlinda Rais Samia Mbele ya DC ChuaChua

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua Mhe. Dkt. Rashid ChuaChua amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepeleka Shilingi Milioni 446 kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa Maji wa Kazaroho

Aidha, DC Chuachua amesema Rais Samia amepeleka fedha za kutosha Kazaroho kwenye Shule za Sekondari, Shule mbili za Msingi kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa, Mabweni, na Vyoo katika Wilaya ya Kaliua.

"Ndugu zangu Msione vyaelea, vimeundwa na aliyeunda ni Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akishirikiana na Aloyce Andrew Kwezi (Mbunge wa Kaliua) pamoja na diwani mzee Haron" - DC Kaliua, ChuaChua

DC ChuaChua amekwenda kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda S. Burian kuzindua mradi wa Maji uliopo Kazaroho

"Kama kuna jambo ambalo mmelifanya ni kumfanya Aloyce Andrew Kwezi kuwa Mbunge wenu (Kaliua). Mmempata Mbunge ambaye kila anaposimama Bungeni anaeleza mambo mazito kwa ajili ya maslahi ya watu wa Kaliua. Mbunge huyu ni tunu mliyopewa na Mwenyezi Mungu, hampaswi kuipoteza" - DC Kaliua, ChuaChua

"Kama kuna mtu analifiziafizia hili Jimbo mwambieni atasubiri sana. Mmepata Mbunge (Aloyce Andrew Kwezi) anayefanya kazi kubwa kwa ajili ya maendeleo ya watu wa Kaliua. Lazima mumshikilie, mumlinde na kumtunza. Acha afanye kazi kwa ajili ya kutimiza malengo yetu (Kaliua) wana Kaliua" - DC Mhe. ChuaChua
View attachment 2612283View attachment 2612291View attachment 2612292
MaDC wengi ni Vimeo?
 
Naona nyuzi za mbunge wa Kaliua zimekuwa nyingi , nahisi anazileta mwenyewe.
Tunao tokea kaliua tunashangaaa huuu ujasiri anautoa wapii.

Wakati kata ya zugimlole watu wanaliwa na fisi mchana kweupeee.kisa wanyama wamesogea sanaa karibu na makazi ya watu.

Hiii ni baada ya TANAPA kufukuza wa tu kwenye maaene yao ya tangu enzi na enzi .

Tanapa wanapiga watu risasi hovyo raia,ila mbunge huwezi msikia akisema kitu.

Ushahidi wa karibuni,ni ndugu juma nasoro kazebha aliye uwawa na maiti haikwenda chukuliwa izikwe,maana ilikua atae tokeza pua tuu ana kula chuma.

Kama kuna angetokea,vijiji vya zugimlole, uyumbu,kangeme,na lumbe anaelewa nachozungumzia.

Mbunge wa kaliua toka mfukoni mwa Dora.
 
Back
Top Bottom