Wananchi wa Kibaha Vijijini kubomolewa nyumba zao, Mbunge asema anapeleka mashtaka kwa Waziri Mkuu

Huu ni uhuni wa awamu ya 6!

Utaratibu ni kutoa notice, wamefanya hili sababu kungewekwa zuio la mahakama wasingeweza kuvunja. Awamu hii wanyonge mtanyooka kmmmk.
 
Kwa uwingi wao wasingeshindwa,tatizo la watz wengi ni uoga wa kindezi.
Mshika AK47 angepasuliwa pumbu endapo wananchi wangewakaza.
Mkuu angalia na hao wazee walivyo lkn watz hatuna tabia ya amshaamsha kwenye mambo yanagusa maisha yetu
 
Kwani wanapokuwa wanajenga mpaka wanamaliza wahusika ambao ni serikali wanakuwa hawaoni ?
Hatakuwepo KIPINDI cha Magufuli mtanzania mwenye maono

USSR
 
Basi wapaze sauti tena kwenye hili... mama ni msikivu atawasikia round hii jiwe hayupo
 
Yule mjinga alivunja mwenyewe lkn hizi za Kibaha zimevunjwa na wasiojulikana
Za kimara zimevunjwa na Magu.. za kibaha ni wasiojulikana... Hivi wanasiasa wanafanya siasa au wanafanya chuki?
 
"MTANIKUMBUKA SANA, SI KWA MABAYA BALI KWA MAZURI, alisema baba mmoja huku akienda zake. Unaweza kuta bwa Kadri wala sio raia wa nchi hii ni hao wawekezaji wanaoletwa na chief Hangaya. Nchi ngumu sana hii
 
"MTANIKUMBUKA SANA, SI KWA MABAYA BALI KWA MAZURI, alisema baba mmoja huku akienda zake. Unaweza kuta bwa Kadri wala sio raia wa nchi hii ni hao wawekezaji wanaoletwa na chief Hangaya. Nchi ngumu sana hii
Uhuni mtupu
 
Huu ni uhuni wa awamu ya 6!

Utaratibu ni kutoa notice, wamefanya hili sababu kungewekwa zuio la mahakama wasingeweza kuvunja. Awamu hii wanyonge mtanyooka kmmmk.
Watanyooka sana.
 
Kinachouma ni huu ujenzi wetu wa kmaskini yaan nyumba unajenga miaka 5 then mtu anakuja kuvunja kwa siku Moja tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…