Wananchi wa Kigoma msijishuku kubaguliwa mnapohojiwa uraia wenu

Nashauri Kigoma ijitenge ili iundwe nchi kama Rwanda na Burundi.
Wakijitenga wenyewe wataitwa waasi, nafikiri ni serikali kuwaacha, watu wa Kigoma kama wanawaona ni kero, kama hawawezi watulie maisha yaendelee
 
kwa nn hukutaka kumjua toka 2015 hata hivo kuhoji kwako kutabadilisha nn hata wewe km unaona vipi na wewe si uende kigoma ukawe sehemu ya watu kutoka burundi

Sent from my SM-A700L using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…