Pre GE2025 Wananchi wa Kilimanjaro wachangishana kurekebisha barabara mbovu yenye urefu wa kilomita 72

Pre GE2025 Wananchi wa Kilimanjaro wachangishana kurekebisha barabara mbovu yenye urefu wa kilomita 72

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiyo barabara ni kwa hitaji lao, so wastop bevause kodi zinakwenda kwingine? Nope?
Kodi zinaenda wapi? hapo hapo ukifanyika ukaguzi wa CAG unakuta hio hapo Halimashaur Bilion 3 au 4 hazijulikani zilipo. Haya ndio mambo yanafanya watawala waendelee kutuona wajinga, Haiwezekani tunalipa kila aina ya ushuru na bado huduma tuchangishane.
 
Hongera sana wananchi na kanisa la KKKT. Barabara inayotengenezwa sio straight line road Moja ni muunganiko wa feeder road way za mitaa mingi ambazo wanaishi watu huko vijijini na kuunganisha na barabara kuu.
Ni ijungaa bado nasisitiza kodi zunatumika wapi?; haya yakiendelea kuna siku Raia wataambiwa wachangishane wawalipe watumishi wa umma mishahara.Huu ni ujinga kodi zijenge Barabara haiwezekani.
 
Waige ufala? huu ni ufala mkubwa mno, pesa za kodi wanaagiza V8 Japani then za kukarabati Barabara hakuna, za kuwalipa Bongo Movie waende Korea zipo ila za Barabara hakuna. Za kugharamaikia kuendesha Ikulu mbili za Dar na Dodoma zipo ila za Barabara hakuna.

Za safari za nje zipo ila za Barabara hakuna.

Huu ni uzuzu yale yale ya kuchangishana kukimbiza ile kibatari.
Mkuu nakubaliana na wewe! Lakini anayeumia ni nani?
Anayeumia ni Wananchi,kwa hiyo kuliko kuendelea kuumia ni vizuri wakajiongeza kumaliza matatizo yao huku wakisubiri serikali ifanye nini.
 
Safi sana na wanafuata nyayo za Mwanza, tena Mwanza wanazijenga kwa kiwango cha mae. Barabra wanazojenga wananchi huko zinaubora kuliko za tarura.

Wachaga walikuwa wamelala, ni heri sasa wanaanza kuamka. Utakuta mkuu wa Mkoa huko siyo mchaga, kawazindua.
 
Mentality za ujamaa, na hapo sasa hizi ndio habari watawala wanapenda sana kuzisikia make zina wapa nguvu na ari kubwa sana ya kupiga pesa za umma, kwa sababu wanajua fika mwisho wa siku raia watachangishana walete huduma wenyewe.
Pesa zinakusanywa sana nchi hii na zinapigwa sana, then Raia tujihudumie wenyewe. Ujinga ujinga Ujinga
 
Ni ijungaa bado nasisitiza kodi zunatumika wapi?; haya yakiendelea kuna siku Raia wataambiwa wachangishane wawalipe watumishi wa umma mishahara.Huu ni ujinga kodi zijenge Barabara haiwezekani.
Naheshimu maoni yako mkuu, ukiambiwa uchague ujinga wa kushirikiana na kujiletea maendeleo na werevu wa kuisubiri serikali ya CCM ikuletee maendeleo utachagua kipi?
 
Kodi zinaenda wapi? hapo hapo ukifanyika ukaguzi wa CAG unakuta hio hapo Halimashaur Bilion 3 au 4 hazijulikani zilipo. Haya ndio mambo yanafanya watawala waendelee kutuona wajinga, Haiwezekani tunalipa kila aina ya ushuru na bado huduma tuchangishane.
Nadhani ishu hapa ni contest, wananchi wanahitaji la barabara, serikali imeshindwa kutimiza on time, so wasijenge barabara hiyo sababu serikali ina matumizi mabaya ya kodi? Nani ataumia. Wao wenye uhitaji or serikali?

Nafikiri kuna uhitaji vs siasa. Hili halihitaji poolitics, kitu nimependa mbunge hana taarifa, hajui nini kinaendelea, kwa kwa Taarifa kimei kurudi jimboni kwake next round ni ngumu. Hana ushirikiano
 
Safi sana na wanafuata nyayo za Mwanza, tena Mwanza wanazijenga kwa kiwango cha mae. Barabra wanazojenga wananchi huko zinaubora kuliko za tarura.

Wachaga walikuwa wamelala, ni heri sasa wanaanza kuamka. Utakuta mkuu wa Mkoa huko siyo mchaga, kawazindua.
Hakika wachagga walikuwa wamelala, huku wazaramo walishaamka miaka mingi sana.
 
Safi sana na wanafuata nyayo za Mwanza, tena Mwanza wanazijenga kwa kiwango cha mae. Barabra wanazojenga wananchi huko zinaubora kuliko za tarura.

Wachaga walikuwa wamelala, ni heri sasa wanaanza kuamka. Utakuta mkuu wa Mkoa huko siyo mchaga, kawazindua.
Kodi zinaenda wapi? au ni kwa ajili ya matumizi ya anasa ya watawala? huu ujinga yaani Raia wanalipishwa kodi kwa kila kitu wanacho tumia, unasikia TRA imevuka malengo then ghafla Serikali haina pesa hapo hapo unaona Magari latest Barabarani.
Huu ni ujinga nisio ukubali.
 
Hakika wachagga walikuwa wamelala, huku wazaramo walishaamka miaka mingi sana.
Sio walisha amka, ni ujinga plus uzezeta, Ndio vitu vinafanya watawala wagongeane glass za wine make wanajua fika wana uhakika wa Raia kujihudumia wenyewe hivyo wanapata nguvu za kupiga pesa za umma.
 
Nadhani ishu hapa ni contest, wananchi wanahitaji la barabara, serikali imeshindwa kutimiza on time, so wasijenge barabara hiyo sababu serikali ina matumizi mabaya ya kodi? Nani ataumia. Wao wenye uhitaji or serikali?

Nafikiri kuna uhitaji vs siasa. Hili halihitaji poolitics, kitu nimependa mbunge hana taarifa, hajui nini kinaendelea, kwa kwa Taarifa kimei kurudi jimboni kwake next round ni ngumu. Hana ushirikiano
Inashindwa vipi kutimiza on time? Mbona Barabarani kumejaa Magari Bland mpya za Serikali?Huu ujinga haupaswi kuendelea kuwepo.
 
Naheshimu maoni yako mkuu, ukiambiwa uchague ujinga wa kushirikiana na kujiletea maendeleo na werevu wa kuisubiri serikali ya CCM ikuletee maendeleo utachagua kipi?
Nauliza Raia wanalipa kodi au hawalipi? Sikiliza hii nchi imejaa mazezeta. Kodi tulipe na tutangaziwe na CAG kabisa kwamba pesa Mabiliona hadi 500 yamepigwa, then tuje na ukondooo wa kuanza sasa kijiletea maendeleo wenyewe? Hao raia si wanalipa Kodi daily?

KWa mujibu wa CAG kila mwaka Trion kadhaa hupigwa na mbaya wanao piga husamehewa.
 
Inashindwa vipi kutimiza on time? Mbona Barabarani kumejaa Magari Bland mpya za Serikali?Huu ujinga haupaswi kuendelea kuwepo.
Mkuu BLACK MOVEMENT unahoji maswali mazuri sana, ila unafeli sana unapokuwa mlalamishi na hutoi suluhisho way forward nini kifanyike.

Mission yoyote, movement au harakati za kweli lazima ujue nini unataka kufanya, jinsi ya kufanya, gharama zake na hatima yake. Ukishaanza kulalamika basi umesha feli mazima.
 
Mkuu BLACK MOVEMENT unahoji maswali mazuri sana, ila unafeli sana unapokuwa mlalamishi na hutoi suluhisho way forward nini kifanyike.

Mission yoyote, movement au harakati za kweli lazima ujue nini unataka kufanya, jinsi ya kufanya, gharama zake na hatima yake. Ukishaanza kulalamika basi umesha feli mazima.
Raia wanapaswa kuhoji pesa zao ziko wapi, wasipo hoji matokeo yake ndio haya. Wanao piga pesa za Umma wanasamehewa, raia wanapaswa kuuliza whay wanasamehewa ilihali wao wanachangishana kujenga Barabara. Tusipo uliza Serikali maswali magumu haya yataendelea karine na Karine.

Na usishangae kwenye Ukaguzi wa CAG ikaja kuonekana hio Barabara imetengewa pesa na zimepigwa baada ya kuona wajinga wametengeneza wenyewe.
 
Sisi wa Mikoa mingine tunaruhusiwa kuiga hayo mazuri??

Sio jambo baya kujifunza Kwa aliyefanikiwa kukuzidi 🤗
 
Mkuu BLACK MOVEMENT unahoji maswali mazuri sana, ila unafeli sana unapokuwa mlalamishi na hutoi suluhisho way forward nini kifanyike.

Mission yoyote, movement au harakati za kweli lazima ujue nini unataka kufanya, jinsi ya kufanya, gharama zake na hatima yake. Ukishaanza kulalamika basi umesha feli mazima.
Hii nchi imejaaa wahuni sana, huu ujinga naujua sana, Raia wanajitolea kujenga Barabara au sujui Kalavati, baadae zinatolewa pesa, zile pesa zinapigwa na kwenye report wanaandika ni Serikali ndio imejenga.

Mtaani kwa wananchi unasomeka ni Raia ndio wametengeneza, Ila Documents Serikalini zinasoma ni Serikali. Hapo jua watu wamejigawiwa kitambo sana.

Hatuna tabia ya kuhoji, hatuna tabia ya kuwajibisha watasala,
 
Sisi wa Mikoa mingine tunaruhusiwa kuiga hayo mazuri??

Sio jambo baya kujifunza Kwa aliyefanikiwa kukuzidi 🤗
Kama hamlipi kodi yes igeni, ila kama mnalipa kodi, uliza hizo kodi zenu zinafanya nini,Hii inapaswa kufanyika endapo Kodi hazilipwi kabisa.

Ila kama mnalipa Kodi zinapigwa na aanao piga wanasamehewa, ni ujinga sana kujitolea hata Mungu atawaona wajinga
 
Back
Top Bottom