Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Hongera sana wananchi na kanisa la KKKT. Barabara inayotengenezwa sio straight line road Moja ni muunganiko wa feeder road way za mitaa mingi ambazo wanaishi watu huko vijijini na kuunganisha na barabara kuu.Ila hapo pa km 72 Ndio utata