Elice Elly
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 1,267
- 1,593
Ubishi mwingine hauna maana, kikubwa jamaa hatakiwi tena leo.Acha uwongo video ya siku nyingi
Ubishi mwingine hauna maana...Kikubwa jamaa hatakiwi tena leo
Duu kuna watu wabishi duniani sijawahi ona. Kwani kila akitaka kufanya ziara lazima akujulishe wewe? Unless wewe kama ni Mama Janeth...Subiri kesho utakapoona job akijitetea Bungeni kama kawaida ya watu wenye vyeti Milembe huwa hawakubali kushindwa hata kwa jambo lililo waziJenga hoja kwa kujenga ukweli sio kupotosha
Leo Rais Magufuli amefanya ziara wapi?
Hawezi kushinda kihalali maisha yake yote labda aibe.. Na kama jimbo kama la kongwa imekuwa ivyo its obvious mwaka huu hawatoboi popote labda kwa kuiba. TUMEWACHOKA...MKUU PAMOJA NA YOTE UTASHANGAA ANASHINDA UCHAGUZI TENA KWA KISHINDO
vumbi la congo kisha mnapigwa katerero mwage maji
Mkuu hawa wagogo wametupatia liwazo na kutufuta machozi sisi watanzania baada ya kuwalilia wabunge wengi walio nyanyasika kisa NdugayeMimi nakosa tu kipaza sauti,watu wa aina ya speaker wa bunge la awamu hii wapo wengi sana hawapaswi hata kupata kura za kuomba kuteuliwa ili wawe wagombea.
Na akitaka kupata ukweli wa wagogo ampeleke siku hiyo anayosema atakwenda naye ili akapate ukweli mtupu.
Hongera sana watu wa kongwa kwa kulitambuwa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Du! hii Kali,kumbe watu kwao hawakubaliki kiasi hiki na kunashida za kila aina!
Watake wasitake Ndungai ndio mbunge wao, hakuna uchaguzi Tanzania. Tume IPI Mikononi kwa meko
Wagogo hawajitambui. Leo wanamkataa, kesho akienda watamshangilia!Jambo wakuu!! Jana nimesikia mahali kua mh Rais alipita jimboni kwa Ndugai (speaker)na baada ya mazungumzo nao mafupi aliahidi kurudi pale na mh Ndugai lakini wananch walikataa!! hii ni kweli? Km ni kweli inapeleka ujumbe gani kwa Rais na Spika mwenyewe?! Au nikikundi cha watu kilitengenezwa lengo ovu?
Wagogo hawajitambui. Leo wanamkataa, kesho akienda watamshangilia!
Ahahahahaa aisee.... kama CHADEMA wana uwezo wa kuandaa wahuni kwenye mkutano wa Rais, basi wapo juuWale walikuwa wahuni wameandaliwa na Chadema
Wacha kuisemea mioyo ya watu wewe.Wagogo hawajitambui. Leo wanamkataa, kesho akienda watamshangilia!
Ahahahahaa aisee.... kama CHADEMA wana uwezo wa kuandaa wahuni kwenye mkutano wa Rais, basi wapo juu
Wacha kuisemea mioyo ya watu wewe.