Mwenyewe!Soka ipho meresinyi sakayo
Ndugu, tatizo wewe upo tayari na Upande, wa kuwakashifu wanaopanda Treni Huko Tz, Ukiangalia Comment zangu zote sina Shida na yeyote Anayepanda Treni, nayepanda Private car yake, anayepanda Public sina Shida naye kwa sababu Kwenye Safari Kinachoamua Mtu apande anachopanda ni Mantiki( Sababu kwa kilajambo).
Na sababu ziko Nyingi, na muhusika ndio anayejua sababu, ukiamua kufikiri bila mipaka ya ubinafsi, basi utagundua sababu nyingi tu, hizi ni baadhi amabzo nimejaribu kufikiri tu:-
1. Kuna watoto wamezaliwa kipindi ambacho Treni zilikuwa zimeshasitishwa, hivyo wapo wazazi wanaopenda kuwapandisha watoto wao japo waone usafiri wa treni.
2. Kwa mawazo yasio na ubinafsi kupanda Treni/Usafiri wa Umma sio ya Ya daraja fulani la watu, ni suala la option tu.
3. Kuna watu huwa wanaishi jirani na stesheni za Reli, ambapo akipanda basi Inamgharimu au Kuchukua Usafiri mwingine Kumpeleka mpaka nyumbani.
4. Kuna watu wanaufuata kama Usafiri wa Bei Rahisi ( wewe ndio umesimamia sababu hii moja..)
5. Wako watu wakubwa kabisa wa ukanda huu, hajawahi kupanda Treni, na anajisikia hamu ya Kupanda japo kidogo tu.
6. Treni inaondoka Jioni, Sina hakika kama siku izi Kwenda moshi kuna Basi za Jioni am not sure, Hivyo mtu anaweza kusafiri usiku na kesho yake mid-morning akawa moshi.
7. Kuna Mtu hana haraka ya Mahali popote, anahitaji Usafiri ambao Anaweza kuwa flexible,Akatembea Tembea, akaenda Kula Muda anaotaka, Akaenda Washroom Muda anaotaka, Akanywa Bia zake pasi na Kubeba mafurushi, maana Kwenye Treni zetu naamini zina Buffet.
Sasa kwa nini unajifungia na Sababu moja ya kufika mapema tuu? Kwanini huwazi kwa Niaba ya watu ambao hawana haraka ya popote? Sio kila mtu anawahi mara zote, hata kwenye basi, kuna wanaotafuta Luxorious, kuna wanaotafuta speed etc..
Mtu mwenye hekima huwezi Waza upande mmoja tuu, lazima Ujipe nafasi ya Kuwaza zaidi; Usijifungie tu kwamba ufike kesho yake, kwani kuna waliokwambia kwamba kila mtu anawahi.
Kama Huna Takwimu ni Bora ukawa Balanced; ndio maana mimi sina shida na yoyote Anayetumia basi la umma, anayetumia Usafiri wake binafsi wala anayetumia treni.
Sasa wewe unasema Huku hauna Takwimu halisi, ahalafu bado unakuwa bias, Tena kwa Matusi kabisa kwa kuita watu wapumbavu eti "I can estimate with informed guess" Sioni shaka maana hata Student wa Tz, wengi research ni za kuunga unga, wakisubiri kufanya kama ambavyo wewe unafanya eti "estimate with informed guess" Hii Dunia sio ya guess the world is Fact ndugu, ukipinga unakuwa na Valid Sampling ya unachopinga.
Ndio maana wazungu wanatoka Europe wanakuja Huko TZ kufanya research phyisical or Online sio kwamba hawana watu wa kuwapa habari wanatafuta Uhalisia wa habari zao.
Mimi sijakupinga kwamba treni litakuwa na wachache kuliko basi, hilo linawezekana, lakini si kweli kama watu hawatapanda Treni, na watakaopanda kuwa ni wapumbavu hii sio Hekima, kwa mtu aliyemakinika.
Kumbuka No research no Right to Criticize.
ACHA UONGO WAKO PAKO FULLY BOOKED TILL FEBRUARY 2020.Hapandi mtu, Nani anapanda gogo linafika Moshi baada ya siku 2 au 3? Wachagga sio masikini hivyo!
Hizi train zita prove failure on the arrival! Hapandi mtu nakwambia! Mtu anataka apakie afike Moshi siku hiyo hiyo! Hizo treni zitapakia ndizi na nguruwe kutoka Moshi kuja Dar!
Believe me!
Hapakii mtu mle!
ACHA UONGO WAKO PAKO FULLY BOOKED TILL FEBRUARY 2020.
Wewe ni zuzu tena lipumbavuUnafeli!
Nitajie Watanzania 10 tu wanaotaka kwenda Arusha watumie siku 2 njiani?
Nitajie hao nguruwe tuwaone!
Hakuna!
Kama natumia 30,000/= kupata basi 10x confortable more than gogo na half of the time to reach more,who,by any stupid reason will ever use that stupid train?
Kwa kutumia sababu gani hasa!?
Itaje hiyo sababu very mysterious ambayo inapelekea mtu kupakia treni chafu yanye kunuka ikufikishe Moshi baada ya siku mbili upo njiani unapiga miayo kama mbwa?
Itaje hiyo sababu tuione hapa!
Acha blah blah bwana!
Dah....Kuna sababu zaidi ya 1000 za kutopanda hiyo treni....vilevile zipo pia zaidi ya 1000 za kukufanya upande treni....inategemea na mahitaji yako....Bado nasisitiza ....Acha ujinga [emoji2960]
Wewe ni zuzu tena lipumbavu
Ni kweli mkuu ila kumbuka sio wachaga wote wenye private car, pia kulikuwa na tatizo la kupanda nauli kwa magari yaendayo kaskazini kila mwisho wa mwaka, nadhani mwaka huu hili swala halita kuwepo.Hakuna mwenyeji wa Kilimanjaro anayeweza kushabikia huo uchafu wewe,ni kwamba mumewachukua walevi mukawaweka kwenye camera ili kutuzuga.
Mchagga aache kupanda private car from Dar to Moshi aashobokee hayo matakataka yenu..???
Eti wamepata uhakika wa kwenda Moshi kula Xmas mwaka huu...kwani walikuwa hawana uhakika..???mnachekesha walionuna nyie mafala.
Kilimanjaro imeendelea kabla ya Uhuru kwa taarifa yenu sasa.
Mkuu sina hakika na ulichokisema kuhusu muda, hii reli nadhani ni Medium Gauge MGR na lengo la yale marekebisho yao yalikuwa kuifanya reli iwe na uwezo wakusuport tren iweze kusafar kilimita 70 kwa saa kutoka 35. Sassa sina hakika ni hiyo ya Moshi to Dar au ni hii ya Isaka.Acha unafik !
Umesikia kwa nani?.
Piga simu usikie majibu.
Kampeni za kijinga.
Nauli inazidi mpaka basi na unasafiri usiku kucha..kwenda Moshi tu kama kwenda Kigoma?
Katika usafiri watu huangalia mambo tofauti tofauti sio muda tu. Kama ni muda basi watu wote wangekuwa wanapanda ndege. Kuna maswala yakiusalama comfortability, tourism factors nk. Kuna watu hawana haraka na safari zao na wana hela hata ya kupanda ndege lakini watapenda kupanda treni akakae first class sit za kulala ili tu auridhishe moyo wake.Mkuu
Unashindwa kuelewa kabisa, Hakuna mtu wa Moshi anaekuja Dar anapakia kitu cha 16,000/= kinachofika next day!
Hakuna! Kwenda Moshi, tatizo sio hela ya kupakia, tatizo ni speed ya kufika Moshi! Na treni ya mawe can never provide that! Hiyo treni ingepata watu kama ingekua inaenda Kigoma!
Basi za 30,000/= ambazo ni luxury sleeping coaches ni lazima zitajaa maana muhimu ni confort na speed ya kufika Moshi na Arusha! Huko serikalini they will never learn!
Bure kabisa! Mtu wa kwenda Moshi tangu lini akatafuta usafiri wa 16,000/= kufika Moshi siku inayofuata???
Never! Naongea kwa purely business standpoint na ninavyoijua njia ya Dar-Moshi-Arusha! Natoka huko na najua kila kitu! Hakuna mtu atakaepakia gogo!
Mark my words!
Namchukia sana mawe na watu wake ila kwa hili naongelea kibiashara na jinsi navyojua hii njia!
Dah...[emoji2960]Mkuu
Acha sound
Tunazungumzia commercial success ya hizo train na zinapambana against luxury busses hapa!
Hizo sababu zako hata uzipange vipi ni lazima ziegemee luxury na speed na convinience!
Mengine yote ni irrelevant in a long run mzee commercially!
Tunaongelea commercial reasons hapa,acha story za alinacha!
In a long run hii system lazima i-prove commercial sense na not otherwise!
Tukija hapo hayo matreni yanaleta nonsense in and out!
Kwa hiyo unataka kutuaminisha.kwamba wachaga wote wa Dar wana magari? Acha hizo wewe wengi tunaowajua hawana hata baiskeli, tena watapanda wenye akili zao anatanya shughuli zake mchana Dar au Moshi usiku anakesha kwenye train na asubuhi yupo mjini kama sio yeye.Hakuna mwenyeji wa Kilimanjaro anayeweza kushabikia huo uchafu wewe,ni kwamba mumewachukua walevi mukawaweka kwenye camera ili kutuzuga.
Mchagga aache kupanda private car from Dar to Moshi aashobokee hayo matakataka yenu..???
Eti wamepata uhakika wa kwenda Moshi kula Xmas mwaka huu...kwani walikuwa hawana uhakika..???mnachekesha walionuna nyie mafala.
Kilimanjaro imeendelea kabla ya Uhuru kwa taarifa yenu sasa.
Mkuu lengo la serikali kufufua reli sio kuua usafiri wa mabasi ila nikuuboresha na matokeo yake tunaofaaidika ni sisi walaji yaani abiria, tutakuwa na choice nyingi.Bro mtapata kadhaa
Na wengi wataishia Tanga or somewhere!
Ila mabasi yatajaa to the maximum!
Hakuna basi litakosa wateja!
Mark my words!
Plus,fvck all of yall minions and mawe included!
If yall mad,svck my dick,goddamnit!
Katika usafiri watu huangalia mambo tofauti tofauti sio muda tu. Kama ni muda basi watu wote wangekuwa wanapanda ndege. Kuna maswala yakiusalama comfortability, tourism factors nk. Kuna watu hawana haraka na safari zao na wana hela hata ya kupanda ndege lakini watapenda kupanda treni akakae first class sit za kulala ili tu auridhishe moyo wake.
Kuna watu wanaharaka na safari zao ila hawana nauli ya kupanda basi hawa watalazimika kupanda treni kwa elf 16 mzunguko ilimradi wafike safari yao haijalishi watatumia siku ngapi. Pia nakuhakikishia watalii wengi wanaotoka nchi za nje watakuwa wanapenda kupanda treni kutoka Dar kwenda Moshi na Vice versa ili waifaidi nchi vizuri.
Hata ndege zilipokuja waliziponda sana, baadae tukarushiwa video mmoja baada ya mwingine wapo ndani ya hiyo hiyo ndege waliyosema hawapandi mbona tumewazoeaHapandi mtu, Nani anapanda gogo linafika Moshi baada ya siku 2 au 3? Wachagga sio masikini hivyo!
Hizi train zita prove failure on the arrival! Hapandi mtu nakwambia! Mtu anataka apakie afike Moshi siku hiyo hiyo! Hizo treni zitapakia ndizi na nguruwe kutoka Moshi kuja Dar!
Believe me!
Hapakii mtu mle!
Mkuu hawa wanao tukanana kwa makabila humu ni wakuwapuuza watakuwa na kwashakoo ya akili au wanasumbuliwa na njaa.Ninahisi kama kuna kundi la watu wanataka kulazimisha uadui wa haya makabila kisa ni siasa yaani iwe kama ilivo kenya halafu baadaye wanasiasa kutoka makabila haya wawe wanatafuta uungwaji mkono wa kikanda ,kikabila hii ni njia rahisi iliyosalia kuelekea mgawanyiko mkuu hatimaye ikibidi vita kati yetu huwa sioini sababu mtu kuingiza ukabila sehemu ambapo hauhitajiki na ninahisi wengi wala si wachaga au wachaga wako under attack indirectly ili waonekane ni watu wenye ukabila yaani mtu anjifanya mchaga kutukana kabila jingine ni wazi watu wa kabila jingine hata wasipojibu wanakuwa wanawachukulia tofauti