Wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro wamemshukuru Rais Magufuli kwa kuwarejeshea usafiri wa treni kwa nauli nafuu ya sh 16,000 tu

Kwani kuna reli ambayo sio ya gage? Nimegundua wewe ni mgumu kuelewa soma uzi wangu vizuri utaelewa nilichokiandika na nilichomaaanisha. Sijui shuleni mlisomaga nini? Mtu unasoma kitu juu juu hujaelewa unakuja kumwaga upupu hapa. Do intensive reading bro. Have I compared the speed of train and Plane in my thread?
 
Binafsi nampongeza Mh.Raisi Wa Jamuhuri ya Muungano Wa Tanzania kwa kupeleka tren KLM, mimi namuangalia yule mmachinga wa hali ya chini kabisa ambaye kwa gharama nafuu kabisa atafika kariakoo na kununua mzigo wake na kurudi kuuuza KLM kwa bei ambayo mwananchi wa kipato cha chini kabisa ataweza kununua.
Kuna watu wanamaisha magumu kulee DSM na ndugu zao wapo Moshi kinachowakwamisha ni nauli tuu hawa wataweza kufika KLM na kurudi.
Mwisho kabisa nawakumbusha huku kuna watu wazazi wao au babu zao waliweza kwenda kutafuta maisha Dar, kwa kutumia usafiri huu hawakua na pesa za basi way back 80's na wakatoboa wakafanya uzaliwe mjini ununue smartphone uje kutusumbua hapa. Jf
 

Gauge ya reli ya mwaka 1892 ni standard za gauge ya sasa hivi?

Nani amekwambia nimesema reli za Mjerumani za miaka 120 iliyopita hazina gauge?

Reli zote zina gauge,gauge ni kipimio,hoja hapa ni gauge ya uzito wa kisasa?

Jibu ni kwamba sioo!

Mgumu kuelewa ni wewe!

Mimi mgumu kuelewa vitu vya kipumbavu!

Vitu vya kipumbavu nielewe nipeleke wapi!?

I got no time for that nonsense!
 
Hata ndege zilipokuja waliziponda sana, baadae tukarushiwa video mmoja baada ya mwingine wapo ndani ya hiyo hiyo ndege waliyosema hawapandi mbona tumewazoea

Ndege zinaenda wapi?

Nitajie trip mojawapo za nje ya TaNzania?

None!

Zinaenda Njombe!

Yall niggas are really sick!
 

Mlaji gani anasafiri kutoka Dar kwenda Moshi kwa siku mbili?

Kutoka Dar es Salaam kwenda Shanghai ni 13 hours straight,na watu wanachoka kiama halafu uniweke kwenye lile gogo linanuka mavi mbuzi na ng’ombe kwa 24hrs straight?

Hata kama nauli ni bure sipakii upuuzi huo!

Mkuu,hili mnalijua kabisa,hapakii mtu mle!
 
Kuna wakati inabidi mtu kucheka tu.
 
Mimi ntapanda treni na ntaenda na marafiki na ndugu.
Sasa wewe unayejifanya mchambuzi wa comfortability, speed sijui ma nini endelea na uchambuzi wako usio na mashiko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…