Wananchi wa 'Northern Malawi' tunawakumbusha waliosahau kuwa zile 'Ndege' zingine Mbili zilizokuwa ziwasili mapema mwaka huu mbona hazijatua bado?

Wananchi wa 'Northern Malawi' tunawakumbusha waliosahau kuwa zile 'Ndege' zingine Mbili zilizokuwa ziwasili mapema mwaka huu mbona hazijatua bado?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wengine kama akina GENTAMYCINE tuna Udhaifu Mmoja mkubwa wa Kukariri Jambo na Kutosahau Milele hivyo tunakumbusha tu ujio wa Ndege zetu zingine Mbili Kubwa za Air Northern Malawi.

Halafu tunawaombeni kama ambavyo huwa mnapenda Kukurupuka kwa kutafuta Sifa Kwetu Wananchi wa Northern Malawi juu ya Ujio wa Ndege zetu basi tunawaombeni pia muwe wepesi hivyo hivyo Kutuambia kwanini zimechelewa kufika kama mlivyotutangazia.

Natamani sana tu Mkataba wangu hapa nchini Northern Malawi nilipo Kikazi na Kimaisha uishe ili nirejee tu Nyumbani nchini Kwangu Tanzania ambako hakuna Upuuzi kama huu wa hapa halafu na Mama ( Rais ) nae wa huko ( Tanzania ) anazidi tu Kuupiga mwingi na sasa Maisha ni mazuri hadi Wazungu wanakimbilia kwenda Kutembea na wengine hata wakitaka waendelee Kuwepo ( Kuishi )

Kwa mfano kwa sasa hapa nilipo nchini Northern Malawi Bei ya Mafuta ya Petrol inakaribia Tsh 2500/= au Tsh 3000/= za huko Kwetu Tanzania wakati kwa sasa Tanzania Bei ya Mafuta ya Petrol nasikia imeshuka mno na hata ukiwa na Buku Jero ( Tsh 1,500/= ) unawekewa Mafuta katika Petrol Station yoyote ile.
 
Mgogoro wa huko ughaibuni mashariki .. umeathiri hata dira na uelekeo .... tuendelee kusubiri.

Kama ilivyo kwa miradi mingine ya kimkakati.
 
Popoma kumbuka huu ni usiku na hizi tabia za kutuma posts ngumu usiku unasababisha watoto wachelewe kutiririkia kwenye incubators zao za miezi tisa
 
Popoma kumbuka huu ni usiku na hizi tabia za kutuma posts ngumu usiku unasababisha watoto wachelewe kutiririkia kwenye incubators zao za miezi risa
Wakati Hichilema wa Zambia anafikiria jinsi ya kuendeleza nchi yake iliyoharibiwa na Lungu, na amefanikiwa wengine huko bado wanapanga team.
Kwenye kupanga team coach haangalii uwezo wa MTU kufunga magoli.
 
Wengine kama akina GENTAMYCINE tuna Udhaifu Mmoja mkubwa wa Kukariri Jambo na Kutosahau Milele hivyo tunakumbusha tu ujio wa Ndege zetu zingine Mbili Kubwa za Air Northern Malawi.

Halafu tunawaombeni kama ambavyo huwa mnapenda Kukurupuka kwa kutafuta Sifa Kwetu Wananchi wa Northern Malawi juu ya Ujio wa Ndege zetu basi tunawaombeni pia muwe wepesi hivyo hivyo Kutuambia kwanini zimechelewa kufika kama mlivyotutangazia.

Natamani sana tu Mkataba wangu hapa nchini Northern Malawi nilipo Kikazi na Kimaisha uishe ili nirejee tu Nyumbani nchini Kwangu Tanzania ambako hakuna Upuuzi kama huu wa hapa halafu na Mama ( Rais ) nae wa huko ( Tanzania ) anazidi tu Kuupiga mwingi na sasa Maisha ni mazuri hadi Wazungu wanakimbilia kwenda Kutembea na wengine hata wakitaka waendelee Kuwepo ( Kuishi )

Kwa mfano kwa sasa hapa nilipo nchini Northern Malawi Bei ya Mafuta ya Petrol inakaribia Tsh 2500/= au Tsh 3000/= za huko Kwetu Tanzania wakati kwa sasa Tanzania Bei ya Mafuta ya Petrol nasikia imeshuka mno na hata ukiwa na Buku Jero ( Tsh 1,500/= ) unawekewa Mafuta katika Petrol Station yoyote ile.
Ebu tuache,[emoji2322][emoji2322]mama anaupiga mwingi Sana!
 
Back
Top Bottom