Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kuna sheria itatungwa chawa wote wanyong...eWananchi wanampongeza nani na nani.? Mawazo yako ya kijinga usifanye yawe ya watu wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sheria itatungwa chawa wote wanyong...eWananchi wanampongeza nani na nani.? Mawazo yako ya kijinga usifanye yawe ya watu wote
ulivyovitaja vyote ni sharti viambatane sambamba kama pete na kidole vinginevyo hakuna bilashaka 🐒Biashara ya sasa sio lazima kuwa na stock, biashara ya sasa sio lazima kuwa na fremu, kusafirisha mizigo ya watu sio lazima kuwa na gari nk, nk, dunia imebadirika.
manyumbu bana dah 🐒Kuna sheria itatungwa chawa wote wanyong...e
Msithubutu, wanawake ni ngumu sn kutawala huku afrika...waishie kwenye uwaziri tuu.Huyo mama Samia amedhihirisha inawezekana kwa kina mama kutawala kwa amani na wakafanikisha, inapaswa Wakenya tukaiga pia.
Wananchi wa Tanzania tunakupongeza kwa mazuri ambayo unayatenda. Usikatishwe tamaa na kelele sisi tulioishi muda mrefu na kujua mwenendo wa nchi tunakuona unaenda vyema sana. Furaha, amani, mshikamano miongoni mwa watanzania ni wa hali ya juu.
Uhuru wa kuabudu, uhuru wa kutoa maoni, hata uhuru wa kutukana viongozi pia upo juu sana.....labda wale wanaopitiliza kutukana hata shetani mwenyewe anashangaa. Lakini matusi ya reja reja watu wanatukana tu kwa raha zao. Usalama pia ni mkubwa, hakuna wasiwasi wa ujambazi, ugaidi wala utekaji.
Serikali inalipa madeni ya ndani, madai ya malipo, hakuna kukatwa deni, sijui kuhakikiwa deni. Pia huna wasiwasi kuwa fedha ikiingia kwenye akaunti utakuta imechukuliwa au kupunguzwa. TRA wamekuwa wakifanya kazi kwa weledi na very friendly, wanatuma meseji kila mara kukumbusha wajibu wa kulipa kodi.
Ndugu zetu CHADEMA wanajimwaga kwa raha zao na maandamano; hakuna anayewabughudhi kwamba wawe na term limit kwa Mwenyekiti wao.
Naona Sam Nujoma rd na Old Bagamoyo rd unataka kufanya jambo jipya........
Hongera sana Rais
point bomba hizi nyumbu zingine sijui zinaangaliaga wapi tuMie nampongeza kwa kuimarisha ufisadi serikalini, kwa mdomo wake amekiri kuna mirija ya wizi kwenye serikali yake!