Wananchi wa Tanzania tunakupongeza Rais Samia kwa mazuri unayoyatenda

Biashara ya sasa sio lazima kuwa na stock, biashara ya sasa sio lazima kuwa na fremu, kusafirisha mizigo ya watu sio lazima kuwa na gari nk, nk, dunia imebadirika.
ulivyovitaja vyote ni sharti viambatane sambamba kama pete na kidole vinginevyo hakuna bilashaka 🐒
 
Huyo mama Samia amedhihirisha inawezekana kwa kina mama kutawala kwa amani na wakafanikisha, inapaswa Wakenya tukaiga pia.
 
SI MPANGO WA MUNGU MWANAMKE KUWA KICHWA( HEAD OF STATE) WALIUMBWA WAWE WASAIDIZIIII...

NI AJABU,AIBU NA KINYUME NA MAPENZI YA MUNGU MTAWALA KUWA MWANAMKE HATA KAMA ANAYO AKILI KIASI GANI.

MWANAUME MZIMA ETI ANASIFIA KUONGOZWA NA MWANAMKE NA ANACHAGUA HIVYO NA KUFURAHIA.

MWANAUME WAHIVYO ANASTAHILI KUOLEWAA,TUACHE UMARIOO WANAUME TUSIMAME PANAPOSTAHILI NA WASAIDIZI WETU WASHIKE VYEO VYA CHINI YETU.
 
Mie nampongeza kwa kuimarisha ufisadi serikalini, kwa mdomo wake amekiri kuna mirija ya wizi kwenye serikali yake!
 
Huyo mama Samia amedhihirisha inawezekana kwa kina mama kutawala kwa amani na wakafanikisha, inapaswa Wakenya tukaiga pia.
Msithubutu, wanawake ni ngumu sn kutawala huku afrika...waishie kwenye uwaziri tuu.
Huyu wetu anaogopa kuyachukulia maamuzi magumu baadhi ya midume sijui anaona watampa talaka?!
 
Ningekuwa mshauri wa Mungu ningeshauri tukuchape viboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…