Wananchi wa Ubelgiji waandamana kupinga kufungiwa ndani, CHADEMA mnaweza kujifunza kitu huko!

Wananchi wa Ubelgiji waandamana kupinga kufungiwa ndani, CHADEMA mnaweza kujifunza kitu huko!

Nafahamu kwamba makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu kwa sasa anaishi Ubelgiji.

Kupitia taarifa ya habari ya Al jazeera wameonekana wananchi wa Ubelgiji wazungu na wale wenye asili ya Afrika na Asia wakiandamana kupinga kufungiwa ndani.

Wanadai kwamba Lockdown ni mateso kupita Corona yenyewe.

Nimeona niwaleteeni hili bandiko makamanda wa Chadema mpate kutafakari na hata kufuatilia kama " Ni yeye " aliandamana.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Tunajua kama mkali wenu yuko huko Ubeleji.
Ninyi mataga mmepata taatifa ya kupokea vipimo vipya kutoka uchina?
Hats namna ya kupima no togauti na vipimo vya mabeberu, vya kichina vinakufaeni sana ninyi mataga
 
Tunajua kama mkali wenu yuko huko Ubeleji.
Ninyi mataga mmepata taatifa ya kupokea vipimo vipya kutoka uchina?
Hats namna ya kupima no togauti na vipimo vya mabeberu, vya kichina vinakufaeni sana ninyi mataga
Robert Amsterdam!
 
Nafahamu kwamba makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu kwa sasa anaishi Ubelgiji.

Kupitia taarifa ya habari ya Al jazeera wameonekana wananchi wa Ubelgiji wazungu na wale wenye asili ya Afrika na Asia wakiandamana kupinga kufungiwa ndani.

Wanadai kwamba Lockdown ni mateso kupita Corona yenyewe.

Nimeona niwaleteeni hili bandiko makamanda wa Chadema mpate kutafakari na hata kufuatilia kama " Ni yeye " aliandamana.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Umeshaandamana hivyo na wajinga wenzio. Hili haliwahusu CHADEMA
 
Na mambo "ya hovyo" yenyewe ni Rais kukataa kuwafungia watanzania lockdown??

Mwilini mwako kuna funza anatafuna katika kiungo pasipo salama

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hukuwa na haja ya kutoa mapovu kihivyo kama kweli wewe ni GT, sijasema Mh. Rais afungie watu ndani, wala binafsi sitafurahi kufungiwa ndani, lakini vipi kusema tu kwamba huu ugonjwa upo, tuchukue tahadhari, tuhimize watu kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari zote, Chief hili suala halina SIASA tujilinde mzee, mimi ni hayo tu kama unakwazika na maoni ya wengine, fanya kuelewesha ili mtu afuate kile unachodhani wewe ni bora zaidi.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ukitaka kujua kifo kinavyotesa kaangalie makaburi halafu uchague kipi bora kati ya lockdown ili kujikinga na ugonjwa na kifo kitakachokupeleka kaburini milele.
Ukitaka kujua lock down inatesa.
Kaa ndani kwako kwa siku 1 tu.kuanzia asubuhi mpaka usiku.
 
Acha kutuma habari za uongo, wanaoandamana ni wananchi wa Uholanzi sio Ubelgiji.

Source; DW.




Source;The Guardian

Watu 400 wamekamatwa.
 
Corona ni ugonjwa DHAIFU sanaa.
Ukitaka kujua kifo kinavyotesa kaangalie makaburi halafu uchague kipi bora kati ya lockdown ili kujikinga na ugonjwa na kifo kitakachokupeleka kaburini milele.
 
Mtu umewaweka ndani watu tangu mwaka jana.mpaka leo na ugonjwa wenyewe hauna dalili ya kuondokka Leo Wala kesho.kwanini wasiandamane?

Source; DW.




Source;The Guardian

Watu 400 wamekamatwa.
 
Hivyo eh!? Na huu utafiti wako uliokuwezesha kuhitimisha hivi uliufanya lini na wapi? Na ukubwa wa sample yako ulikuwa upi!?
Corona ni ugonjwa DHAIFU sanaa.
 
😂😂😂😂😂😂😂😂 na kwa kuwa afya yako iko vizuri basi unaweza kutoa kauli isiyo na mashiko kuhusu ugonjwa ambao umeangusha uchumi wa dunia ya kwanza na dunia yote kwa ujumla 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi mwenyewe afya yangu
 
Hatimaye wabelgiji wameona ubora wa strategies anazutumia kupambana na corona nankuamua kuiga

John Pombe Magufuli rais bora kwenye kupambana na janga la corona
John Pombe Magufuli atabaki kuwa rais bora wa karne
 
Huu ugonjwa ni BIASHARA Na propaganda.ipo siku mtakuja kumuelewa magufuli kwenye Corona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kwa kuwa afya yako iko vizuri basi unaweza kutoa kauli isiyo na mashiko kuhusu ugonjwa ambao umeangusha uchumi wa dunia ya kwanza na dunia yote kwa ujumla [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom