Wananchi wa Ubelgiji waandamana kupinga kufungiwa ndani, CHADEMA mnaweza kujifunza kitu huko!

Wananchi wa Ubelgiji waandamana kupinga kufungiwa ndani, CHADEMA mnaweza kujifunza kitu huko!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ imebidi nicheke. Magufuli huyu huyu wa elimu ya kuunga unga na anayejiita mwendawazimu! 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Huu ugonjwa ni BIASHARA Na propaganda.ipo siku mtakuja kumuelewa magufuli kwenye Corona
 
Wenye akili TIMAMU wanakufa na Corona huko na vichwa vinawauma.
Bora Nani hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imebidi nicheke. Magufuli huyu huyu wa elimu ya kuunga unga na anayejiita mwendawazimu! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahahahaha lol! Ama kweli akili ni Nywele kila mtu na zake! Sasa kama yeye ni bora kwanini huwa anakimbilia chato!?

Wenye akili TIMAMU wanakufa na Corona huko na vichwa vinawauma.

Bora Nani hapo?
 
Amstadam amekaribisha kirusi nchini mwake cha kuhamasisha maandamano, Itakuwa Lisu kashawishi wananchi wa huko waingie mitaani baada ya kutoa ushuhuda wa kinachoendelea Tz dhidi ya corona
 
Nafahamu kwamba makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu kwa sasa anaishi Ubelgiji.

Kupitia taarifa ya habari ya Al jazeera wameonekana wananchi wa Ubelgiji wazungu na wale wenye asili ya Afrika na Asia wakiandamana kupinga kufungiwa ndani.

Wanadai kwamba Lockdown ni mateso kupita Corona yenyewe.

Nimeona niwaleteeni hili bandiko makamanda wa Chadema mpate kutafakari na hata kufuatilia kama " Ni yeye " aliandamana.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani CHADEMA wanataka tufungiwe ndani?
ina maana MATAGA mna utapia mlo wa medula kiasi hiki?
 
Mwingine huyu mbona hakukimbilia limao na tangawizi unadhani havijui? Acha kujitoa ufahamu!!!
Huyo hata akae mansese kwa ulinzi wake hawezi pata Corona.

Na akipata atagonga limao na tangawizi
138A76DD-8944-4B06-9443-5E6B37671ACF.jpeg
 
Nafahamu kwamba makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu kwa sasa anaishi Ubelgiji.

Kupitia taarifa ya habari ya Al jazeera wameonekana wananchi wa Ubelgiji wazungu na wale wenye asili ya Afrika na Asia wakiandamana kupinga kufungiwa ndani.

Wanadai kwamba Lockdown ni mateso kupita Corona yenyewe.

Nimeona niwaleteeni hili bandiko makamanda wa Chadema mpate kutafakari na hata kufuatilia kama " Ni yeye " aliandamana.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu tulishatahadharisha kuweka siasa kwenye masuala yanayohusu maisha ya Binadamu. Suala la corona linaeleweka. Kila mwenye pumzi na akili timamu atanielewa. Kuna watu hawaamini kwamba huu ugonjwa upo na unaua. Hadi utakapoingia milangoni mwao ndipo watakapoelewa.

Suala la Chadema ulishaambiwa kama una ujauzito wa mmoja wao katoe. Au wewe ni miongoni mwa wale Wabunge wa Covid-19?? Pambana kivyako Mkuu.
 
Back
Top Bottom