Huu ugonjwa ni BIASHARA Na propaganda.ipo siku mtakuja kumuelewa magufuli kwenye Corona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imebidi nicheke. Magufuli huyu huyu wa elimu ya kuunga unga na anayejiita mwendawazimu! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wenye akili TIMAMU wanakufa na Corona huko na vichwa vinawauma.
Bora Nani hapo?
Kwani CHADEMA wanataka tufungiwe ndani?Nafahamu kwamba makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu kwa sasa anaishi Ubelgiji.
Kupitia taarifa ya habari ya Al jazeera wameonekana wananchi wa Ubelgiji wazungu na wale wenye asili ya Afrika na Asia wakiandamana kupinga kufungiwa ndani.
Wanadai kwamba Lockdown ni mateso kupita Corona yenyewe.
Nimeona niwaleteeni hili bandiko makamanda wa Chadema mpate kutafakari na hata kufuatilia kama " Ni yeye " aliandamana.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahahahaha lol! Ama kweli akili ni Nywele kila mtu na zake! Sasa kama yeye ni bora kwanini huwa anakimbilia chato!?
View attachment 1692726
Huyo hata akae mansese kwa ulinzi wake hawezi pata Corona.
Na akipata atagonga limao na tangawizi
Mkuu tulishatahadharisha kuweka siasa kwenye masuala yanayohusu maisha ya Binadamu. Suala la corona linaeleweka. Kila mwenye pumzi na akili timamu atanielewa. Kuna watu hawaamini kwamba huu ugonjwa upo na unaua. Hadi utakapoingia milangoni mwao ndipo watakapoelewa.Nafahamu kwamba makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu kwa sasa anaishi Ubelgiji.
Kupitia taarifa ya habari ya Al jazeera wameonekana wananchi wa Ubelgiji wazungu na wale wenye asili ya Afrika na Asia wakiandamana kupinga kufungiwa ndani.
Wanadai kwamba Lockdown ni mateso kupita Corona yenyewe.
Nimeona niwaleteeni hili bandiko makamanda wa Chadema mpate kutafakari na hata kufuatilia kama " Ni yeye " aliandamana.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!