Wananchi Wakiamua Kupuuza jambo hata mkitumia nini haitasaidia Chochote

Wananchi Wakiamua Kupuuza jambo hata mkitumia nini haitasaidia Chochote

Wangesubiri mechi ya YANGA ipite. Hakuna Jambo lenye nguvu Tanzania kuzidi mpira kwasasa.

Wananchi akili zetu zote zipo kwa mkapa na kufuzu, timing waliyotumia imegusa mambo mawili ya kitaifa ilihali sote tunajua mpira lazima ushinde.
 
Who is Winning ?

Walamba Asali ambao wanazidi kulamba asali kila siku; au wanaonyonywa na kupikiga kitaa ?

Waambie wadau wako, try Aiming for the Moon, if you Miss at least you will Hit the Stars...
 
Pamoja na kubeba kila msanii nchi nzima na hata vyombo vya habari Mamluki kwenda Dodoma, lakini mambo ni Magumu.

Nimeona hata Waandishi waliopo huko ambao wengi ni Chawa wao akiwemo Rafiki yangu Maulid Kitenge hawajui Wamhoji nani na katika mada ipi, Yaani Waandishi wa Habari walioko Dodoma hata hawajui kwanini wako Dodoma! Hii ni Aibu sana! Mwisho wa siku wamejikuta wanawahoji watoto wa viongozi ambao hata hawahusiki na Jambo lenyewe, unamhoji January Makamba au Nape Nnauye Katika lipi sasa, Makalla anaongelea Mambo ya Chadema, anayeongelea ya CCM ni nani?

View attachment 3204401

Jambo la Kufurahisha ni Mwitikio wa Wananchi, Kwa mara ya kwanza tangu nipate akili nimeona Wananchi wakipuuza kabisa Mkutano Mkuu wa ccm, hongera kwao. pamoja na kukurupua Wasanii wote lakini Wananchi hawajatikisika hata chembe! Na naomba kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha Wasanii wa Tanzania kwamba, kuendelea kujiambatanisha na ccm ni kujichimbia kaburi la futi 100, Watapuuzwa muda si mrefu, Wananchi watarudi tena kwenye kupenda Rhumba za Congo, Wasome alama za Nyakati haraka sana, ccm ishakataliwa na Wananchi, Nguzo yao ni Dola na Watekaji (RIP ALLY KIBAO)

Bali
Swali letu ni hili, Hali hii inatokana na nini, Kuchokwa kabisa kwa ccm au ni Taimingi mbaya ya Mkutano huu kushindanisha na Mkutano Mkuu kabambe wa Chadema? au ni yote kwa Pamoja?
Lucas Mwashambwa anasema ukumbi mzima unabubujikwa na machozi kwa jinsi Samia alivyopendeza. Naona mama kavaa vazi la msiba mkuu. Hii inaashiria anguko kubwa la CCM limewadia
 
Pamoja na kubeba kila msanii nchi nzima na hata vyombo vya habari Mamluki kwenda Dodoma, lakini mambo ni Magumu.

Nimeona hata Waandishi waliopo huko ambao wengi ni Chawa wao akiwemo Rafiki yangu Maulid Kitenge hawajui Wamhoji nani na katika mada ipi, Yaani Waandishi wa Habari walioko Dodoma hata hawajui kwanini wako Dodoma! Hii ni Aibu sana! Mwisho wa siku wamejikuta wanawahoji watoto wa viongozi ambao hata hawahusiki na Jambo lenyewe, unamhoji January Makamba au Nape Nnauye Katika lipi sasa, Makalla anaongelea Mambo ya Chadema, anayeongelea ya CCM ni nani?

View attachment 3204401

Jambo la Kufurahisha ni Mwitikio wa Wananchi, Kwa mara ya kwanza tangu nipate akili nimeona Wananchi wakipuuza kabisa Mkutano Mkuu wa ccm, hongera kwao. pamoja na kukurupua Wasanii wote lakini Wananchi hawajatikisika hata chembe! Na naomba kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha Wasanii wa Tanzania kwamba, kuendelea kujiambatanisha na ccm ni kujichimbia kaburi la futi 100, Watapuuzwa muda si mrefu, Wananchi watarudi tena kwenye kupenda Rhumba za Congo, Wasome alama za Nyakati haraka sana, ccm ishakataliwa na Wananchi, Nguzo yao ni Dola na Watekaji (RIP ALLY KIBAO)

Bali
Swali letu ni hili, Hali hii inatokana na nini, Kuchokwa kabisa kwa ccm au ni Taimingi mbaya ya Mkutano huu kushindanisha na Mkutano Mkuu kabambe wa Chadema? au ni yote kwa Pamoja?
UNAJUWA WATANZANIA TUNAPENDA SANA KUANGALIA VITUKO YAANI KIKITOKEA KITUKO SEHEMU HALAFU SEHEMU NYINGINE KUNA JAMBO LAMAANA LINAENDELEA WATU WATAJAA KUANGALIA VITUKO NA NDIYO KINACHENDELEA WATU WAKO BUSY KUCHUNGULIA WATU WANAVUANA NGUO ILI WACHUNGULIE MBUPU NA K ZA WATU NI HILO TU NDIYO MAANA CHADEMA WATU WANAANGALIA ZAIDI KUMESHAKUWA NI JUKWAA LA MIPASHO WATU DODOMA SASAHIVI NI RAHA TUPU NYIE MKO NA MAKASIRIKO YENU HASARA
 
Lucas Mwashambwa anasema ukumbi mzima unabubujikwa na machozi kwa jinsi Samia alivyopendeza. Naona mama kavaa vazi la msiba mkuu. Hii inaashiria anguko kubwa la CCM limewadia
Kweli Ninyi hamjitambui kabisa ma CHADEMA.yaani mpo Bize kufuatilia habari za CCM halafu hapo hapo mnasema watu hawafuatilii.hivi hizo ni akili au Matope?
 
Wangesubiri mechi ya YANGA ipite. Hakuna Jambo lenye nguvu Tanzania kuzidi mpira kwasasa.

Wananchi akili zetu zote zipo kwa mkapa na kufuzu, timing waliyotumia imegusa mambo mawili ya kitaifa ilihali sote tunajua mpira lazima ushinde.
Tuache kuangalia game sababu ya watu wachache wasioeleweka
 
Back
Top Bottom