Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
you must be visionary and very focused gentleman 🐒Gentleman, sawa mkuu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you must be visionary and very focused gentleman 🐒Gentleman, sawa mkuu..
Ccm imechokwa kama alivyo chokwa Mbowe na genge lake
Mimi siamini kabisa katika ushirikina Gentleman..wew si ulikua mtumwa wa ushirikina gentleman,
nitawatumikia wananchi na waTanzania bila kuchoka wala kubabaika 🐒
Chadema ni kama tukio la dharura tofauti na ccm ambao ni routine so lazima watu wawe na attention na matukio kama unavyoona wanaumbuana huko.Pamoja na kubeba kila msanii nchi nzima na hata vyombo vya habari Mamluki kwenda Dodoma, lakini mambo ni Magumu.
Nimeona hata Waandishi waliopo huko ambao wengi ni Chawa wao akiwemo Rafiki yangu Maulid Kitenge hawajui Wamhoji nani na katika mada ipi, Yaani Waandishi wa Habari walioko Dodoma hata hawajui kwanini wako Dodoma! Hii ni Aibu sana! Mwisho wa siku wamejikuta wanawahoji watoto wa viongozi ambao hata hawahusiki na Jambo lenyewe, unamhoji January Makamba au Nape Nnauye Katika lipi sasa, Makalla anaongelea Mambo ya Chadema, anayeongelea ya CCM ni nani?
View attachment 3204401
Jambo la Kufurahisha ni Mwitikio wa Wananchi, Kwa mara ya kwanza tangu nipate akili nimeona Wananchi wakipuuza kabisa Mkutano Mkuu wa ccm, hongera kwao. pamoja na kukurupua Wasanii wote lakini Wananchi hawajatikisika hata chembe! Na naomba kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha Wasanii wa Tanzania kwamba, kuendelea kujiambatanisha na ccm ni kujichimbia kaburi la futi 100, Watapuuzwa muda si mrefu, Wananchi watarudi tena kwenye kupenda Rhumba za Congo, Wasome alama za Nyakati haraka sana, ccm ishakataliwa na Wananchi, Nguzo yao ni Dola na Watekaji (RIP ALLY KIBAO)
Bali Swali letu ni hili, Hali hii inatokana na nini, Kuchokwa kabisa kwa ccm au ni Taimingi mbaya ya Mkutano huu kushindanisha na Mkutano Mkuu kabambe wa Chadema? au ni yote kwa Pamoja?
Huyo hawajui vizuri walafi wa CCMZikikurudi Akili ulizokamliwa maji ya kijani, hutokaa ccm maisha yako yote wallah nakwambia tena
sasa ulitumikishwaje na ukawa dumped gentleman 🐒Mimi siamini kabisa katika ushirikina Gentleman..
Nilipandikizwa patriotic mentality. I was brainwashed to believe in patriotism something which wasn't even there. My mind was taken hostage to believe in a myth Gentleman.sasa ulitumikishwaje na ukawa dumped gentleman 🐒
Yote kwa pamojaPamoja na kubeba kila msanii nchi nzima na hata vyombo vya habari Mamluki kwenda Dodoma, lakini mambo ni Magumu.
Nimeona hata Waandishi waliopo huko ambao wengi ni Chawa wao akiwemo Rafiki yangu Maulid Kitenge hawajui Wamhoji nani na katika mada ipi, Yaani Waandishi wa Habari walioko Dodoma hata hawajui kwanini wako Dodoma! Hii ni Aibu sana! Mwisho wa siku wamejikuta wanawahoji watoto wa viongozi ambao hata hawahusiki na Jambo lenyewe, unamhoji January Makamba au Nape Nnauye Katika lipi sasa, Makalla anaongelea Mambo ya Chadema, anayeongelea ya CCM ni nani?
View attachment 3204401
Jambo la Kufurahisha ni Mwitikio wa Wananchi, Kwa mara ya kwanza tangu nipate akili nimeona Wananchi wakipuuza kabisa Mkutano Mkuu wa ccm, hongera kwao. pamoja na kukurupua Wasanii wote lakini Wananchi hawajatikisika hata chembe! Na naomba kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha Wasanii wa Tanzania kwamba, kuendelea kujiambatanisha na ccm ni kujichimbia kaburi la futi 100, Watapuuzwa muda si mrefu, Wananchi watarudi tena kwenye kupenda Rhumba za Congo, Wasome alama za Nyakati haraka sana, ccm ishakataliwa na Wananchi, Nguzo yao ni Dola na Watekaji (RIP ALLY KIBAO)
Bali Swali letu ni hili, Hali hii inatokana na nini, Kuchokwa kabisa kwa ccm au ni Taimingi mbaya ya Mkutano huu kushindanisha na Mkutano Mkuu kabambe wa Chadema? au ni yote kwa Pamoja?
Kimsingi umekubaliana na hoja zangu, hayo mengine ni porojo tuChadema ni kama tukio la dharura tofauti na ccm ambao ni routine so lazima watu wawe na attention na matukio kama unavyoona wanaumbuana huko.
Wasanii nasikia wanapewa laki mbili mbili njaa mbaya sanaWasanii wanafuata hela kama ilivyo kwa wenje na abdul
Gentleman,Nilipandikizwa patriotic mentality. I was brainwashed to believe in patriotism something which wasn't even there. My mind was taken hostage to believe in a myth Gentleman.
Kadi ya CCM ninayo mpaka sasa. Muda wowote nitaichanilia mbali..
DuuuuhNilikataa kumuoa mtoto wa Balozi Mstaafu (Balozi wa Tanzania nchini ******) ndio wakaamua kunikomoa kwa kutonipa fursa. Inaonekana yule manzi alikuwa pia mtu wa *******
Niliwatumikia sana CCM mak*ma wale. I'll never repeat such a mistake in my whole life..
kumbe mlikua na matatizo yenu binafsi huko gentleman?Nilikataa kumuoa mtoto wa Balozi Mstaafu (Balozi wa Tanzania nchini ******) ndio wakaamua kunikomoa kwa kutonipa fursa. Inaonekana yule manzi alikuwa pia mtu wa *******
Niliwatumikia sana CCM mak*ma wale. I'll never repeat such a mistake in my whole life..
Homa ya Lissu imebadilisha kabisa upepo na uelekeo wa siasa za Tanzania.Pamoja na kubeba kila msanii nchi nzima na hata vyombo vya habari Mamluki kwenda Dodoma, lakini mambo ni Magumu.
Nimeona hata Waandishi waliopo huko ambao wengi ni Chawa wao akiwemo Rafiki yangu Maulid Kitenge hawajui Wamhoji nani na katika mada ipi, Yaani Waandishi wa Habari walioko Dodoma hata hawajui kwanini wako Dodoma! Hii ni Aibu sana! Mwisho wa siku wamejikuta wanawahoji watoto wa viongozi ambao hata hawahusiki na Jambo lenyewe, unamhoji January Makamba au Nape Nnauye Katika lipi sasa, Makalla anaongelea Mambo ya Chadema, anayeongelea ya CCM ni nani?
View attachment 3204401
Jambo la Kufurahisha ni Mwitikio wa Wananchi, Kwa mara ya kwanza tangu nipate akili nimeona Wananchi wakipuuza kabisa Mkutano Mkuu wa ccm, hongera kwao. pamoja na kukurupua Wasanii wote lakini Wananchi hawajatikisika hata chembe! Na naomba kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha Wasanii wa Tanzania kwamba, kuendelea kujiambatanisha na ccm ni kujichimbia kaburi la futi 100, Watapuuzwa muda si mrefu, Wananchi watarudi tena kwenye kupenda Rhumba za Congo, Wasome alama za Nyakati haraka sana, ccm ishakataliwa na Wananchi, Nguzo yao ni Dola na Watekaji (RIP ALLY KIBAO)
Bali Swali letu ni hili, Hali hii inatokana na nini, Kuchokwa kabisa kwa ccm au ni Taimingi mbaya ya Mkutano huu kushindanisha na Mkutano Mkuu kabambe wa Chadema? au ni yote kwa Pamoja?
Wasanii wanafuata hela kama ilivyo kwa wenje na abdul
Hii haikuwa personal issue. Wewe haujui jinsi mambo yanavyoenda. Hii ilikuwa ni amri kutoka juu.kumbe mlikua na matatizo yenu binafsi huko gentleman?
CCM inahusika nini na wewe kugoma kumuoa mtu? hizo si personal issues?
Wanachezea tuu mali za umma kununua mabasi ya chama wakijifanya yamenunuliwa na fedha za chamaPamoja na kubeba kila msanii nchi nzima na hata vyombo vya habari Mamluki kwenda Dodoma, lakini mambo ni Magumu.
Nimeona hata Waandishi waliopo huko ambao wengi ni Chawa wao akiwemo Rafiki yangu Maulid Kitenge hawajui Wamhoji nani na katika mada ipi, Yaani Waandishi wa Habari walioko Dodoma hata hawajui kwanini wako Dodoma! Hii ni Aibu sana! Mwisho wa siku wamejikuta wanawahoji watoto wa viongozi ambao hata hawahusiki na Jambo lenyewe, unamhoji January Makamba au Nape Nnauye Katika lipi sasa, Makalla anaongelea Mambo ya Chadema, anayeongelea ya CCM ni nani?
View attachment 3204401
Jambo la Kufurahisha ni Mwitikio wa Wananchi, Kwa mara ya kwanza tangu nipate akili nimeona Wananchi wakipuuza kabisa Mkutano Mkuu wa ccm, hongera kwao. pamoja na kukurupua Wasanii wote lakini Wananchi hawajatikisika hata chembe! Na naomba kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha Wasanii wa Tanzania kwamba, kuendelea kujiambatanisha na ccm ni kujichimbia kaburi la futi 100, Watapuuzwa muda si mrefu, Wananchi watarudi tena kwenye kupenda Rhumba za Congo, Wasome alama za Nyakati haraka sana, ccm ishakataliwa na Wananchi, Nguzo yao ni Dola na Watekaji (RIP ALLY KIBAO)
Bali Swali letu ni hili, Hali hii inatokana na nini, Kuchokwa kabisa kwa ccm au ni Taimingi mbaya ya Mkutano huu kushindanisha na Mkutano Mkuu kabambe wa Chadema? au ni yote kwa Pamoja?
Chadema mnafanya tukio la dharura tofauti na CCM,kipya kinyemiKimsingi umekubaliana na hoja zangu, hayo mengine ni porojo tu
Nimecheka sijui kwanini😁Tunajua Samia Queens mko hapo wote
Kwani huko kijani kibichi kuna nn kinaendelea, watu tunasubir first eleven ya yanga tuanze kusikiliza hiyena hiyena,Kweli Ninyi hamjitambui kabisa ma CHADEMA.yaani mpo Bize kufuatilia habari za CCM halafu hapo hapo mnasema watu hawafuatilii.hivi hizo ni akili au Matope?