Wananchi Wakiamua Kupuuza jambo hata mkitumia nini haitasaidia Chochote

Wananchi Wakiamua Kupuuza jambo hata mkitumia nini haitasaidia Chochote

Pamoja na kubeba kila msanii nchi nzima na hata vyombo vya habari Mamluki kwenda Dodoma, lakini mambo ni Magumu.

Nimeona hata Waandishi waliopo huko ambao wengi ni Chawa wao akiwemo Rafiki yangu Maulid Kitenge hawajui Wamhoji nani na katika mada ipi, Yaani Waandishi wa Habari walioko Dodoma hata hawajui kwanini wako Dodoma! Hii ni Aibu sana! Mwisho wa siku wamejikuta wanawahoji watoto wa viongozi ambao hata hawahusiki na Jambo lenyewe, unamhoji January Makamba au Nape Nnauye Katika lipi sasa, Makalla anaongelea Mambo ya Chadema, anayeongelea ya CCM ni nani?

View attachment 3204401

Jambo la Kufurahisha ni Mwitikio wa Wananchi, Kwa mara ya kwanza tangu nipate akili nimeona Wananchi wakipuuza kabisa Mkutano Mkuu wa ccm, hongera kwao. pamoja na kukurupua Wasanii wote lakini Wananchi hawajatikisika hata chembe! Na naomba kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha Wasanii wa Tanzania kwamba, kuendelea kujiambatanisha na ccm ni kujichimbia kaburi la futi 100, Watapuuzwa muda si mrefu, Wananchi watarudi tena kwenye kupenda Rhumba za Congo, Wasome alama za Nyakati haraka sana, ccm ishakataliwa na Wananchi, Nguzo yao ni Dola na Watekaji (RIP ALLY KIBAO)

Bali
Swali letu ni hili, Hali hii inatokana na nini, Kuchokwa kabisa kwa ccm au ni Taimingi mbaya ya Mkutano huu kushindanisha na Mkutano Mkuu kabambe wa Chadema? au ni yote kwa Pamoja?
Chadema ni kama tukio la dharura tofauti na ccm ambao ni routine so lazima watu wawe na attention na matukio kama unavyoona wanaumbuana huko.
 
Pamoja na kubeba kila msanii nchi nzima na hata vyombo vya habari Mamluki kwenda Dodoma, lakini mambo ni Magumu.

Nimeona hata Waandishi waliopo huko ambao wengi ni Chawa wao akiwemo Rafiki yangu Maulid Kitenge hawajui Wamhoji nani na katika mada ipi, Yaani Waandishi wa Habari walioko Dodoma hata hawajui kwanini wako Dodoma! Hii ni Aibu sana! Mwisho wa siku wamejikuta wanawahoji watoto wa viongozi ambao hata hawahusiki na Jambo lenyewe, unamhoji January Makamba au Nape Nnauye Katika lipi sasa, Makalla anaongelea Mambo ya Chadema, anayeongelea ya CCM ni nani?

View attachment 3204401

Jambo la Kufurahisha ni Mwitikio wa Wananchi, Kwa mara ya kwanza tangu nipate akili nimeona Wananchi wakipuuza kabisa Mkutano Mkuu wa ccm, hongera kwao. pamoja na kukurupua Wasanii wote lakini Wananchi hawajatikisika hata chembe! Na naomba kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha Wasanii wa Tanzania kwamba, kuendelea kujiambatanisha na ccm ni kujichimbia kaburi la futi 100, Watapuuzwa muda si mrefu, Wananchi watarudi tena kwenye kupenda Rhumba za Congo, Wasome alama za Nyakati haraka sana, ccm ishakataliwa na Wananchi, Nguzo yao ni Dola na Watekaji (RIP ALLY KIBAO)

Bali
Swali letu ni hili, Hali hii inatokana na nini, Kuchokwa kabisa kwa ccm au ni Taimingi mbaya ya Mkutano huu kushindanisha na Mkutano Mkuu kabambe wa Chadema? au ni yote kwa Pamoja?
Yote kwa pamoja
 
Nilipandikizwa patriotic mentality. I was brainwashed to believe in patriotism something which wasn't even there. My mind was taken hostage to believe in a myth Gentleman.

Kadi ya CCM ninayo mpaka sasa. Muda wowote nitaichanilia mbali..
Gentleman,
niliwahi kuajiriwa kama dereva halmashauri flani huko rukwa. In3 months nikabadilisha muundo, nikawa mtendaji wa kijiji within the same region, na baadae nikapanda nikawa mtendaji kata, hatimae in other less than 5 months nikawa afisa utumishi, nafasi ambayo ndiyo haswa ilikua target yangu before sijaajiriwa.

Target yako ilikua nini hasa hadi ukatumikishwa? ama haukua na target kabisa gentleman? 🐒
 
Nilikataa kumuoa mtoto wa Balozi Mstaafu (Balozi wa Tanzania nchini ******) ndio wakaamua kunikomoa kwa kutonipa fursa. Inaonekana yule manzi alikuwa pia mtu wa *******

Niliwatumikia sana CCM mak*ma wale. I'll never repeat such a mistake in my whole life..
Duuuuh
 
Nilikataa kumuoa mtoto wa Balozi Mstaafu (Balozi wa Tanzania nchini ******) ndio wakaamua kunikomoa kwa kutonipa fursa. Inaonekana yule manzi alikuwa pia mtu wa *******

Niliwatumikia sana CCM mak*ma wale. I'll never repeat such a mistake in my whole life..
kumbe mlikua na matatizo yenu binafsi huko gentleman?
CCM inahusika nini na wewe kugoma kumuoa mtu? hizo si personal issues?

mimi nimekua katibu wa mgombea ubunge mtu mzito mno humu nchini in two terms. Na kwasabb I was very serious, na kuna mambo nilikua nadictate yafanyike au yasifanyike na ninaskilizwa hadi na meneja wa kampeni ambae yeye alikua na pesa tu, hakua na ujuzi na masuala ya kisiasa ispokua mimi,

Huenda wewe ulikua myonge na dhaifu usie na chochote gentleman 🐒
 
Pamoja na kubeba kila msanii nchi nzima na hata vyombo vya habari Mamluki kwenda Dodoma, lakini mambo ni Magumu.

Nimeona hata Waandishi waliopo huko ambao wengi ni Chawa wao akiwemo Rafiki yangu Maulid Kitenge hawajui Wamhoji nani na katika mada ipi, Yaani Waandishi wa Habari walioko Dodoma hata hawajui kwanini wako Dodoma! Hii ni Aibu sana! Mwisho wa siku wamejikuta wanawahoji watoto wa viongozi ambao hata hawahusiki na Jambo lenyewe, unamhoji January Makamba au Nape Nnauye Katika lipi sasa, Makalla anaongelea Mambo ya Chadema, anayeongelea ya CCM ni nani?

View attachment 3204401

Jambo la Kufurahisha ni Mwitikio wa Wananchi, Kwa mara ya kwanza tangu nipate akili nimeona Wananchi wakipuuza kabisa Mkutano Mkuu wa ccm, hongera kwao. pamoja na kukurupua Wasanii wote lakini Wananchi hawajatikisika hata chembe! Na naomba kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha Wasanii wa Tanzania kwamba, kuendelea kujiambatanisha na ccm ni kujichimbia kaburi la futi 100, Watapuuzwa muda si mrefu, Wananchi watarudi tena kwenye kupenda Rhumba za Congo, Wasome alama za Nyakati haraka sana, ccm ishakataliwa na Wananchi, Nguzo yao ni Dola na Watekaji (RIP ALLY KIBAO)

Bali
Swali letu ni hili, Hali hii inatokana na nini, Kuchokwa kabisa kwa ccm au ni Taimingi mbaya ya Mkutano huu kushindanisha na Mkutano Mkuu kabambe wa Chadema? au ni yote kwa Pamoja?
Homa ya Lissu imebadilisha kabisa upepo na uelekeo wa siasa za Tanzania.
 
kumbe mlikua na matatizo yenu binafsi huko gentleman?
CCM inahusika nini na wewe kugoma kumuoa mtu? hizo si personal issues?
Hii haikuwa personal issue. Wewe haujui jinsi mambo yanavyoenda. Hii ilikuwa ni amri kutoka juu.

Kuna baadhi ya taarifa ni very sensitive siwezi kuzisema mbele ya kadamnasi hapa JF..
 
Pamoja na kubeba kila msanii nchi nzima na hata vyombo vya habari Mamluki kwenda Dodoma, lakini mambo ni Magumu.

Nimeona hata Waandishi waliopo huko ambao wengi ni Chawa wao akiwemo Rafiki yangu Maulid Kitenge hawajui Wamhoji nani na katika mada ipi, Yaani Waandishi wa Habari walioko Dodoma hata hawajui kwanini wako Dodoma! Hii ni Aibu sana! Mwisho wa siku wamejikuta wanawahoji watoto wa viongozi ambao hata hawahusiki na Jambo lenyewe, unamhoji January Makamba au Nape Nnauye Katika lipi sasa, Makalla anaongelea Mambo ya Chadema, anayeongelea ya CCM ni nani?

View attachment 3204401

Jambo la Kufurahisha ni Mwitikio wa Wananchi, Kwa mara ya kwanza tangu nipate akili nimeona Wananchi wakipuuza kabisa Mkutano Mkuu wa ccm, hongera kwao. pamoja na kukurupua Wasanii wote lakini Wananchi hawajatikisika hata chembe! Na naomba kuchukua nafasi hii kuwatahadharisha Wasanii wa Tanzania kwamba, kuendelea kujiambatanisha na ccm ni kujichimbia kaburi la futi 100, Watapuuzwa muda si mrefu, Wananchi watarudi tena kwenye kupenda Rhumba za Congo, Wasome alama za Nyakati haraka sana, ccm ishakataliwa na Wananchi, Nguzo yao ni Dola na Watekaji (RIP ALLY KIBAO)

Bali
Swali letu ni hili, Hali hii inatokana na nini, Kuchokwa kabisa kwa ccm au ni Taimingi mbaya ya Mkutano huu kushindanisha na Mkutano Mkuu kabambe wa Chadema? au ni yote kwa Pamoja?
Wanachezea tuu mali za umma kununua mabasi ya chama wakijifanya yamenunuliwa na fedha za chama
 
Kweli Ninyi hamjitambui kabisa ma CHADEMA.yaani mpo Bize kufuatilia habari za CCM halafu hapo hapo mnasema watu hawafuatilii.hivi hizo ni akili au Matope?
Kwani huko kijani kibichi kuna nn kinaendelea, watu tunasubir first eleven ya yanga tuanze kusikiliza hiyena hiyena,

Acha akina lucas chawa na kina chiembe kunguni wabubujikwe machozi na kilio cha kwikwi kama mc pilipili akilia mbele ya mke wake
 
Back
Top Bottom